ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
watajua hawajui 👇👇👇👇Sio mimi naongelea hayo mambo. Ni Watanzania wenzako so hasira zako elekeza kwao. Did you click on the link? It's your fellow Tanzanians talking
watajua hawajui 👇👇👇👇Sio mimi naongelea hayo mambo. Ni Watanzania wenzako so hasira zako elekeza kwao. Did you click on the link? It's your fellow Tanzanians talking
Our death numbers are high coz our government gives daily updates. Do you have any idea of how many have died in Tanzania in the last three days since the last update?It's because ur deaths number which is the key factor behind why countries fight the pandemic is bigger than us.
yani wajinga kweli hawa jamaa lini tanzania ina muda wakufatilia kenya kwanza kenya kuna kipi tanzania ihangaike na wapuuzi

magufuli kawakunja ipasavyo hawana hamu waneanza kufatilia mambo ya tanzania[/QUOTE]Wanapambana kuona Tz gonjwa linazidi ili wapate kupumua japo kdg 

Kawaida yako sana kutapatapa hoja ikikuendea mrama. Leta picha za kibera sasa
kwani jana serekali haikutoa update hukuona number zimepanda kwa wakat mmoja tatizo lenu nyinyi munachuki kwann uchumi wenu unakufa na corona wakat chuma hajakubaliana na hali hio sasa munaonekana wapuuzi sasa hvi 😂😂😂😂😂Our death numbers are high coz our government gives daily updates. Do you have any idea of how many have died in Tanzania in the last three days since the last update?
Ati sio wewe unaongelea mambo ya Tz 😂Sio mimi naongelea hayo mambo. Ni Watanzania wenzako so hasira zako elekeza kwao. Did you click on the link? It's your fellow Tanzanians talking
Updates mlitoa two days ago kijana wa tandale when your government announced 196 new cases to reach 480. Hujui hata kinachoendelea ndani ya nchi yeko????kwani jana serekali haikutoa update hukuona number zimepanda kwa wakat mmoja tatizo lenu nyinyi munachuki kwann uchumi wenu unakufa na corona wakat chuma hajakubaliana na hali hio sasa munaonekana wapuuzi sasa hvi 😂😂😂😂😂
Ukiwa hujalewa chang'aa huwa na busara snKwenu ndo hakuna vifo?? Wewe kweli ni kilaza. Anyway, tusiongelee mambo na vifo. Si mambo ya kufanyia mzaha, huenda mimi na wewe ndio next


walianza kuingilia na siasa za uganda 😂😂😂Ati sio wewe unaongelea mambo ya Tz 😂
Na huyu ninayemjibu ni nani?
Au kuna anayetumia ID kwa niaba yako 😂
Mko busy na Tz wakati kwenu kunaungua moto wa mabua ulio miminiwa petroli 😂
Yaani mna tabia za kimalaya malaya... Mara muitukane Burundi (hawa hawana hata muda na nyie wako zao busy na mambo yao) mara muhamie Tz.
Na hutowaona humu wakiongelea hayo mambo 😂wizara yao inatumia 42m ksh kukodisha ambulance 16 wakat hio pesa inauwezo wakununua ambulance 15 brand new😂😂 hapo ndio utajua akili zao ziko wapi yani watu wanakula pesa za msaada live bila chenga
Policia brutality imepamba moto kwao ila hutowaona wakijadili humu ila pale tu ikitokea kwenye nchi zingine utawaona namna clito zitakavyo wawasha 😂😂😂walianza kuingilia na siasa za uganda 😂😂😂
Ukiwa na mazoea ya kunywa chang'aa unafikiri hayo ndio maisha ya kila mtu?Ukiwa hujalewa chang'aa huwa na busara sn![]()
hio ni update ya one and ahalf week ilikua hakuna update yoyote imetoka kwa wizara so jana ndio wametoa zote kwa pamoja naona ushaanza kuchaganyikiwa 😂😂😂Updates mlitoa two days ago kijana wa tandale when your government announced 196 new cases to reach 480. Hujui hata kinachoendelea ndani ya nchi yeko????
Wakenya bhn hv nani aliyewaroga kuamini kwamba data zenu za kweli ila zetu za uwongoOur death numbers are high coz our government gives daily updates. Do you have any idea of how many have died in Tanzania in the last three days since the last update?
kijana wacha ubishi za kijinga. Serikali ilitangazwa maabukizi mapya two days ago na Haikuwa ya wiki moja na nusu as you say coz about five days before that mlitangaza new cases as well. Unakuanga na ubishi za kijinga sanahio ni update ya one and ahalf week ilikua hakuna update yoyote imetoka kwa wizara so jana ndio wametoa zote kwa pamoja naona ushaanza kuchaganyikiwa 😂😂😂
Aluyeongelea data za kweli na za uongo ni nani?? Unapenda kutapatapa sana kijanaWakenya bhn hv nani aliyewaroga kuamini kwamba data zenu za kweli ila zetu za uwongo
If you can't comprehend what I said then blame your English teacher. Anyway I know it's just a stupid way of avoiding the topic coz you don't want to look more stupid than you have already lookedYou talking about the link kwani tuko face to face humu au jf ina option ya 📞 na voice note siku hizi!
Jipe shughuli.If you can't comprehend what I said then blame your English teacher. Anyway I know it's just a stupid way of avoiding the topic coz you don't want to look more stupid than you have already looked