Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Harudi tena Huyo yaani umefukuza Pepo 😂😂
huyo jamaa kila siku lazma akutane na mabomu muoneeni huruma hakuna hata siku moja hua anatoka salama humu ndani😂😂hautarudi tenaaa komora
![]()
![]()
Nimecheka sn leo eti kajifanya kuleta mjengo wa tope ili twende sawa kumbe nao pia mjengo waohuyo jamaa kila siku lazma akutane na mabomu muoneeni huruma hakuna hata siku moja hua anatoka salama humu ndani![]()



Halafu na tena nyumba yenyewe ni huko huko aliko # Mombasa 😂😂😂Nimecheka sn leo eti kajifanya kuleta mjengo wa tope ili twende sawa kumbe nao pia mjengo wao![]()
Acha kuongelea mambo usioelewa. Have you watched the series "Money Heist"? Watch it then come back later na uharo wakoUjinga wako ndio umefikia kiwango hiki Dah Wakenya noma sana yn unashindwa kugundua kwamba hilo neno limepachikwa tu hapo ata ww unaweza andika jina lako kwenye ukuta wa Marekani
Arudishe ujinga Kunyaland 😂
Dar es salaam baba laoooAcha kuongelea mambo usioelewa. Have you watched the series "Money Heist"? Watch it then come back later na uharo wako

Ntaitafuta ila najua ndani yake kutakuwa na upuuzi tu km kawa, lazima watakuwa wanaongelea roba za wakora, slums za kibera, wizi, utapeli, rushwa na ugumu wa maisha (km jina lilivyo), ndvyo walivyo hao, huwa hawaongelei mazr ya Afrika.These people's comments are driven by emotions hadi nashangaa. Yani mtu anakasirika just because of that without knowing the story behind that picture or even the name






ww unahitaji maombi kwakweliKwahyo hiyo ni Dar au co, yn km nakuona ulivyo loose confidence



Mombasa sehemu gani...manake mombasa hakuna mtaa km huo...hautarudi tenaaa komora
![]()
![]()
Kumbe kamombasa ni kadogo sn yn unaijua mitaa yote.Mombasa sehemu gani...manake mombasa hakuna mtaa km huo...
Only in dar ndio utakuta mansion na uswazi zimechanganyikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umeleta mpka ule mjengo wa ile ghorofa ya likoni..Kwahyo hiyo ni Dar au co, yn km nakuona ulivyo loose confidence![]()



Ingia kw hyo post halafu uone km kuna mtaa...Kumbe kamombasa ni kadogo sn yn unaijua mitaa yote.
Mkuu mombasa ni mji tu co nchi, naona huwa unajaribu kuitenga Mombasa from KenyaNaona umeleta mpka ule mjengo wa ile ghorofa ya likoni..
Hyo no mombasa wapi, manake naona umeleta mpka twitter
Sent using Jamii Forums mobile app



Mi nimeiangalia hiyo "money Heist" inazungumzia wezi wa fedhaNtaitafuta ila najua ndani yake kutakuwa na upuuzi tu km kawa, lazima watakuwa wanaongelea roba za wakora, slums za kibera, wizi, utapeli, rushwa na ugumu wa maisha (km jina lilivyo), ndvyo walivyo hao, huwa hawaongelei mazr ya Afrika.
Yani wasee sijui km wako duniani kweliThese people's comments are driven by emotions hadi nashangaa. Yani mtu anakasirika just because of that without knowing the story behind that picture or even the name



Umeona ss, nilijua tuu, af Muafrika alivyo wa ajabu ndo kwnz anashangilia kisa tu imechezwa na mzungu, hv hii ngozi ina shida gn jamani? Mbn tunajidhalilisha snMi nimeiangalia hiyo "money Heist" inazungumzia wezi wa fedha