Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,047
- 17,754
Aliwaambia muombe kutoka siku za mwanzo na bado anawwambia tu muombe hata baada ya 53 new cases in a day! Kwani maombi yenu yanapotea Kwa mawingu? Na vile mlifungia nyuzi hapa ndani kupenda kenya kuhusu Covid!! Karma is a biach 😂 😂 😂Kwani amesema watu waombe bila kuchukua tahadhari yoyote?
Au amesema vipimo, quarantine na hatua zote zimesitishwa kwa hiyo tuombe?
Kiswahili kumbe ni lugha ngumu!