Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haha!!
images.jpeg-2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani sijui wajenzi wenu ni vichaa,,, yaani wakenya kwenye ujenzi bado sana,,,,,

muwe mnasubiri tu kujengewa na white people maana,,,, kwenye hiyo sekta raia wa nchi yenu wapo zerooo hakuna wnavhojua[emoji119][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwn hapo kunajengwa club[emoji1787][emoji1787], mjengo hautibu watu bana..
Akili za kibongo huaga shida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom