komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hapo ndipo unapodhihirisha km huna uwezo wa kufikiri vizuri..ulipaswa kumuuliza kw kina ndipo uone km ana kauongo flani ili umdake freshy...billions of US$? ndo mnapoibiwaga! All those stuffs can never be above $2 mln!
Baada ya kukosa hospita kama ile mombasa na kisumu hii hapa musoma😂😂😂👇👇👇👇😅Wachana na bigger city akina Mombasa na kisumu,hii ni upcoming kakamega referral hospital
View attachment 1409408
😂😂😂👇👇👇👇
International games unazijua wewe...we unadhani timu ya taifa ya Tanzania inachezea uwanja upi when it comes to CAF afcon or FIFA world cup qualifier
Baada ya kukosa hopsital kama ile mombasa na kisumu hii ni mtwara😂😂👇👇Wachana na bigger city akina Mombasa na kisumu,hii ni upcoming kakamega referral hospital
View attachment 1409408
Tulitegemea mpaka sasa awe amepost official documents😂😂😂😂Hapo ndipo unapodhihirisha km huna uwezo wa kufikiri vizuri..ulipaswa kumuuliza kw kina ndipo uone km ana kauongo flani ili umdake freshy...
Wala sio kujiandikia figures ni km hapa ni mirembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo picha nayo ndio ultramodern[emoji1787][emoji1787]Baada ya kukosa hospita kama ile mombasa na kisumu hii hapa musoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji28]
View attachment 1409421View attachment 1409422View attachment 1409424View attachment 1409426View attachment 1409427
Rudi kwenye hoja kwanza 😂😂👇👇
Wachana na bigger city akina Mombasa na kisumu,hii ni upcoming kakamega referral hospital
View attachment 1409408
Haujafika ubora wa international games huo jomba, wacha kukata mauno hapaInternational games unazijua wewe...we unadhani timu ya taifa ya Tanzania inachezea uwanja upi when it comes to CAF afcon or FIFA world cup qualifier
Umekosa mombasa na kisumu😂😂😂😂 na ukipata mombasa na kisumu nitag mm niwe wakwanza mamaeeWachana na bigger city akina Mombasa na kisumu,hii ni upcoming kakamega referral hospital
View attachment 1409408
Ultramodern kw akili yake ni picha ya mjengo..sijui huyu jamaa alisomea wapi mazeeWachana na bigger city akina Mombasa na kisumu,hii ni upcoming kakamega referral hospital
View attachment 1409408
leta evidence basi maana naona vitanda used ambavyo kipya ni $5000! Mind u hata SGR Kunyaland was chinese first class till Tanzania started constructed her SGR!Hapo ndipo unapodhihirisha km huna uwezo wa kufikiri vizuri..ulipaswa kumuuliza kw kina ndipo uone km ana kauongo flani ili umdake freshy...
Wala sio kujiandikia figures ni km hapa ni mirembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili yako unaona tunajenga majengo alaf yanabaki tupu au??? 😂😂Ultramodern kw akili yake ni picha ya mjengo..sijui huyu jamaa alisomea wapi mazee
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikuletea tu nitag 😀😀😀leta evidence basi! Mind u hata SGR Kunyaland was chinese first class till Tanzania started constructed her SGR!
Mzee wa GDP tupe neno hapo au tunasubiri pesa za sadaka😂😂👇👇👇
Kwenye hii sekta naomba Wakenya mkubali tu kwamba tuko mbele yenu several miles aheadBaada ya kukosa hospita kama ile mombasa na kisumu hii hapa musoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji28]
View attachment 1409421View attachment 1409422View attachment 1409424View attachment 1409426View attachment 1409427
yaani sijui wajenzi wenu ni vichaa,,, yaani wakenya kwenye ujenzi bado sana,,,,,Wachana na bigger city akina Mombasa na kisumu,hii ni upcoming kakamega referral hospital
View attachment 1409408
umechapa ngedereBaada ya kukosa hospita kama ile mombasa na kisumu hii hapa musoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji28]
View attachment 1409421View attachment 1409422View attachment 1409424View attachment 1409426View attachment 1409427
kaka siyo poa usiwafanye hivyo[emoji6][emoji6][emoji1][emoji1]Baada ya kukosa hopsital kama ile mombasa na kisumu hii ni mtwara[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
Ndio ilitakiwa mwenzako ajadili kw hoja wala sio mihemkoTulitegemea mpaka sasa awe amepost official documents[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]