Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,940
- 103,819
Mi nawapa watu wa #handshake# miaka 200!
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
Hili swali nilikuuliza ichoboy kuhusu ujenzi wa meli mpya tofauti na mv Butiama na mv Victoria pale lake Victoria
Bwana wee apo makumbusho ni balaa, miaka 5 ijayo hapatakamatika EA hiiHighway mpya under construction pale Makumbusho.View attachment 1404281View attachment 1404282View attachment 1404283
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu density hatuna mpinzani

km nycHyo picha haijalipwa mpk leo, ila hapa kuna mpya na haitalipwa believe meUsiwafanyie hivyo ndugu zetu...kuna picha hapo niliomba Nairobi waweke kama hio waliomba msaada hadi Mombasa na hawakuweza kupata huo msitu wa magorofa
View attachment 1404351





Sio ujanja,ni serikali yenu imefeli.. that's the sign of failed stateNairobi nauli hu varry bro, inaweza shuka hadi 20 na pia ikapanda hadi 200...
So lazima ujifunze kucheza na wakati, mji wa wajanja huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheheheheeee we subiri, utajionea aibu na maneno yako ya dharau hayoHahaaa!!sasa huyo mama kusema ndio uthibitisho tosha wewe..
Hahahaaaa!!eti kisha unasema kenya kati, hta aibu huna jomba, endeleeni kujipatia kiki na hao jamaa wa mpakani wanaotafuta ukaribu na unafuu wa matibabi tu...
Lkn never, naridia tena,never!!kamwe hutokuta mkenya kutoka yyeto ana mawazo eti akatibiwe tanzania..mtangoja sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wah wah,hii ni cbd mzee hivi,apart from blue towers the rest ni slum like buildings, Barbara through cbd nkama za kipitia kwa miguu😱😂
Hahahaha ndvyo ilivyo hivyo miji yny density ukiangalia kwa mbali unaeza sema barabara za hapo ni nyembamba sana kumbe cvyoWah wah,hii ni cbd mzee hivi,apart from blue towers the rest ni slum like buildings, Barbara through cbd nkama za kipitia kwa miguu😱![]()





na hiyo bridge ya salender ikikamilika nimeiona hiyo aerial view moja matata itapatikana hapo.....
hawagusi ukipiga picha kama hiyo unaipata nairobi yote pamoja na misitu pori yakufugia nyukiUsiwafanyie hivyo ndugu zetu...kuna picha hapo niliomba Nairobi waweke kama hio waliomba msaada hadi Mombasa na hawakuweza kupata huo msitu wa magorofa
View attachment 1404351

Yeah its possible in 5 years to come inawezekana...yani mambo yanaisha mkoani humo humo unless unaenda jkci ,Moi au ocean road..ngoja tuone najua next 5 years itakua ni za ku equip hizi hospitalMy wish ni kila regional hospital iwe referal hospital yenye world class equipments. Uwezo huo tunao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa utasemaji kwamba nchi inahospitali bora kama hizo Hospitali zinafikiwa na chini ya 1% ya watu wa nchi hiyo?. Chakula kikuu cha Kenya ni ugali, unaposema Kenya wanakula chakula bora, unamaanisha ugali, huwezi kusema wakenya wanakula chakula bora ukiwa unazungumzia Pizza ambacho ni chakula kinachotumiwa na 0.5% ya wakenya wote.Kwn siki hizi ubora wa nchi husika kuwa na hospitali na matibabu bora mpaka hizo hospitali ziwe za serikali
Kwn matabibu wa private hospitals hutokea ng'ambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tungejuaje kama wakenya wanavuka mpaka kuja kufuata matibabu kama sio huyo mama?, kwanini watanzania wanaoishi mipakani wasiende Kenya badala yake wakenya ndio wanakuja Tanzania, na hao wakenya wanasema kwamba, kwao hospitali hazina dawa wala vifaa vya tiba, ina maana wanadanganya?Hahaaa!!sasa huyo mama kusema ndio uthibitisho tosha wewe..
Hahahaaaa!!eti kisha unasema kenya kati, hta aibu huna jomba, endeleeni kujipatia kiki na hao jamaa wa mpakani wanaotafuta ukaribu na unafuu wa matibabi tu...
Lkn never, naridia tena,never!!kamwe hutokuta mkenya kutoka yyeto ana mawazo eti akatibiwe tanzania..mtangoja sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kumbe chakula kikuu cha kenya ni ugali, daahh ndo mana jamaa wamekomaa sn utakuta kijana ana 25 lkn km ana 40Sasa utasemaji kwamba nchi inahospitali bora kama hizo Hospitali zinafikiwa na chini ya 1% ya watu wa nchi hiyo?. Chakula kikuu cha Kenya ni ugali, unaposema Kenya wanakula chakula bora, unamaanisha ugali, huwezi kusema wakenya wanakula chakula bora ukiwa unazungumzia Pizza ambacho ni chakula kinachotumiwa na 0.5% ya wakenya wote.
Sent using Jamii Forums mobile app



Hasira zako peleka Mwananyamala jombaNyuma ya hapo kuna dampo![]()
Bwana wee apo makumbusho ni balaa, miaka 5 ijayo hapatakamatika EA hii
Wah wah,hii ni cbd mzee hivi,apart from blue towers the rest ni slum like buildings, Barbara through cbd nkama za kipitia kwa miguu![]()


Ndio hii hapa broHili swali nilikuuliza ichoboy kuhusu ujenzi wa meli mpya tofauti na mv Butiama na mv Victoria pale lake Victoria