Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila siku, vitu vidogo sana. Lakini Nairobi Kenya
View attachment 1404007
AA7B8067-863C-4916-9267-8F07958713C8.jpeg
555B4A96-BA5C-4E99-98D2-F93D09FA1FDD.jpeg
90EC1A17-ED5A-44E8-B229-F830D6430AA6.jpeg
41064733-C7FF-4E62-85D0-0E70401C8BB8.jpeg
EEC646CF-6141-4F39-A98D-7B2AE72C7AFB.jpeg
 
I was just blowing your point out of the water about Upperhill roads as they are just an extension of CBD roads.

Kijitonyama is mainly a residential district with narrow roads, turning into a business district. Have you looked at how Sheikh Zayed road looked like in Dubai, back in the 90's?
Same with Kilimani. It is still a residential district up to now but is slowly losing that tag thanks to many office blocks coming up in virtually all corners. But still, it doesn't have linear development like Kijito. The only place that has completely lost its residential tag is upper hill. Bungalows used to dot the whole area that is today Upper hill with highrises 15 years ago. Kijitonyama still has a long way to go to reach even the level of Kilimani
 
Acha nikujuze, mamia ya watoto toka Kenya, wanakuja kutibiwa Moyo Muhimbili. Mamia ya watu wazima wanakuja kutibiwa Cancer katika Hospitali ya Ocean Road.

Kuhusu hao wanaovuka mpaka, sio watu walioko mipakani pekee, ukimsikiliza huyo mama toka Kenya aliyelazwa na kutibiwa Tanzania, anasema wakenya kutoka sehemu za katikati ya Kenya huvuka mpaka.

Kitu kimoja lazima mtofautishe kati ya Kenya na Tanzani, sisi tunajali watu wote, ninyi mnajali watu maarufu pekee. Nitajie mtanzania yeyote aliyekuja Kenya kutibiwa katika Hospitali ya serikali, ambako ndiko tunapima ubora wa huduma za Afya za nchi husika, sio Private Hospitals ambapo ni chini ya 1% ya wananchi wanauwezo wa kulipia gharama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!!sasa huyo mama kusema ndio uthibitisho tosha wewe..
Hahahaaaa!!eti kisha unasema kenya kati, hta aibu huna jomba, endeleeni kujipatia kiki na hao jamaa wa mpakani wanaotafuta ukaribu na unafuu wa matibabi tu...

Lkn never, naridia tena,never!!kamwe hutokuta mkenya ambae ana mawazo eti akatibiwe tanzania..mtangoja sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha nikujuze, mamia ya watoto toka Kenya, wanakuja kutibiwa Moyo Muhimbili. Mamia ya watu wazima wanakuja kutibiwa Cancer katika Hospitali ya Ocean Road.

Kuhusu hao wanaovuka mpaka, sio watu walioko mipakani pekee, ukimsikiliza huyo mama toka Kenya aliyelazwa na kutibiwa Tanzania, anasema wakenya kutoka sehemu za katikati ya Kenya huvuka mpaka.

Kitu kimoja lazima mtofautishe kati ya Kenya na Tanzani, sisi tunajali watu wote, ninyi mnajali watu maarufu pekee. Nitajie mtanzania yeyote aliyekuja Kenya kutibiwa katika Hospitali ya serikali, ambako ndiko tunapima ubora wa huduma za Afya za nchi husika, sio Private Hospitals ambapo ni chini ya 1% ya wananchi wanauwezo wa kulipia gharama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwn siki hizi ubora wa nchi husika kuwa na hospitali na matibabu bora mpaka hizo hospitali ziwe za serikali

Kwn matabibu wa private hospitals hutokea ng'ambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom