Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Akili za maskini hvo, manake maskini akipata leo yeye hafikiri ya kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Miradi ya msingi kwa maisha ya wakenya kama Galana kulalu project imewashinda, mnaanza kuzungumzia maabara za Corona, Hospitali zenu hazina dawa na vifaa tiba, wananchi wenu wanalazimika kuvuka kuja kutafuta matibabu Tanzania, badala ya kushughulikia hayo, ninyi eti mnakimbilia kujenga maabara nyingi wakati hata Hospitali na dawa za kuwahudumia hao mtakaowagundua hazipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adjustments.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nairobi iko vizuri kuliko Dar,huo ndio Ukweli.
Japo Dar inakuja kwa kasi sana,inaweza kuikuta na kuipita Nairobi
 
Ushawahi kuona tunaipa kariakoo hadhi ya mji wa kipekee? Sehemu tunayoipa hadhi hiyo ni kijitonyama ambayo iko mbali na CBD.
Kijitonyama ni sehemu ya kutaja mbele ya watu kweli?? Kijitonyama has linear development, if you know what I mean. Majumba marefu kule yanapatikana tu along one stretch of a road so it's not worth mentioning. Kando ya hizo ghorofa ni uswazi kushoto kulia
 
Kijitonyama ni sehemu ya kutaja mbele ya watu kweli?? Kijitonyama has linear development, if you know what I mean. Majumba marefu kule yanapatikana tu along one stretch of a road so it's not worth mentioning. Kando ya hizo ghorofa ni uswazi kushoto kulia
Wewe unaangalia wingi wa majengo, sisi tunaangalia kasi ya ujenzi.

Vitongoji vyote unanvyoviona Dar (Upanga, Kariakoo etc), vilikuwa vimejengeka kiasi toka zamani. Kijitonyama haikuwa hivyo ila ndani ya miaka saba tuu kumebadilika, na hicho ndicho kinachotushangaza.
 
Wewe unaangalia wingi wa majengo, sisi tunaangalia kasi ya ujenzi.

Vitongoji vyote unanvyoviona Dar (Upanga, Kariakoo etc), vilikuwa vimejengeka kiasi toka zamani. Kijitonyama haikuwa hivyo ila ndani ya miaka saba tuu kumebadilika, na hicho ndicho kinachotushangaza.
Af kamekuwa kamji kazuri ghafla sn, unajua Wakenya hawajui kwamba na cc tunashangaa, kwmb hatukuwa na habari nao mji ule
 
Back
Top Bottom