Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,588
- 15,693
Ona unavojichanganya. On one end, unasema Nairobi ni misitu and on the other end unasema eti mitaa zetu hazina miti so what exactly is your point?Ngoja wakuletee misitu kwenye CBD 😂😂😂, halafu kwenye Estates zao nyingi kama umenotes hakuna miti, yaani kichwa kiko chini miguu juu😂😂😁


