mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Tuliambiwa SGR Dar to Morogoro ingeanza Dec mwaka jana, Stiegler's Gorge nayo kimya. Sio Msemaji wa serikali wala Polepole wala praise team wanaogusia, nini kimewapata.Hakuna kitu ambayo mkenya anaweza kumzidi mtZ,kwa sababu nyie ni nyani wenye maisha magumu hatari
Bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga lilizinduliwa kwa mbwembwe tukaonywa atakayekwamisha atakiona, nani sasa amekwamisha. Je ule wimbo wetu wa kuhamia Dodoma umeishia wapi?
Tanzania ya viwanda imefikia wapi, juzi tuliambiwa tuna viwanda vikubwa, vya kati, vidogo na vidogo sana, sijui hivyo vidogo sana ni vya wachoma mahindi?
Ndege zetu zimepaki? yaani.
Mambo ni mengi sana muda hautoshi
Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie, mbona kama mbwembwe zimepungua tunakwama wapi? - JamiiForums
Mnatushinda kweli?


