Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,853
- 103,715
Water kiosk in honor of Achieng eaten by crocodile in Kisumu
Nimeisoma hiyo habari, Maximo anataka kuchukua credit kuwa naye alimwezesha.Samatta kila KonaView attachment 1374032


Tusisahau
I noticed that too. Most photos ni za kibera and he says ni za Kariobangi and other places
Mmechoka kutuonyesha zile three blue towers so you are looking for excuses 😂 😂aisee tumechoka na majengo hamna vitu vingine huko Kunyaland kama food silos ama water projects?
What a stupid excuse. How many times do you people say here that development in Kenya is only concentrated in Nairobi? Now that we are posting projects outside Nairobi inakuwa sasa eti miradi isiyo na tija. Very useless people!Miradi ya upigaji na icyo na tija haina nafasi kwa Tz
And when we post development projects outside Nairobi wanabadilisha story eti miradi isiyo na tija. Hizo miradi zingekuwa kwao si tungekuwa tunaambiwa hapa kila siku vile hii sio Tanzania ya 90s. These guys are so stupid!
And who told you that we are doing those projects to impress anyone?Tunajenga kulingana na uhitaji co sifa
I noticed that too. Most photos ni za kibera and he says ni za Kariobangi and other places
Wapi wakonmbozi wa Africa Yani Dona kantri?
Kwa hivyo majengo yenu zinajengwa tu na serikali? What is the private sector doing? Aren't there serious investors in Tanzania who can invest in putting up buildings apart from the government? Na tukiwaambia uchumi wa Nairobi ni kubwa maradafu mnaanza kucatch feelingsYani Kenya itasubr sn kwa Tz na ndiyo maana nampongeza sana Magu aliliona hili kwmb kwa ss tufanye miradi yny ROI ya fasta majengo kwnz tupotezee, na km angetaka cfa za majengo hz pesa za hii miradi ange invest kwny majengo czani km kuna paka yeyote angekatiza pua yake, ila Magu mjanja kachanga karata kaona kwnz infrastructures zen majengo yatakuja yenyewetu yatake yasitake, Magu is very Genius prezdaa
Tuonyeshe kama hiyo nje ya DarNini hiki au flyover![]()
Show me one project in the whole of Nairobi currently U/C n worthy Kigongo-Busisi bridge in Mwanza. I challenge u! no renders please!
How do you expect Nairobi to have a bridge?
Tuonyeshe kama hiyo nje ya Dar
Kumbe tulijenga. Hatukujengewa tena?Heheheheheeee huyu Magu kaleta balaa yn 4 yrs in the office anawachapa watu waliopambana kujenga ka nchi kao kwa miaka na miaka, kweli Tz baba lao