Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila Wakenya wa JF bana, kuna kipindi flan last year walikua wanashangilia Tunnels za SGR yao ya to nowhere humu ndani, kuanzia zinaanza kuchorongwa mpaka zimekamilika tena na wachina wakafanya na party kabisa

Zililetwa picha za phase 2 hapa maandishi ya kichina kila pembe ya tunnel

Leo wanaleta Wabongo mnaanza kulia kulia....

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hzi hawazungumzii kuhusu SGR toka ilipoishia misituni 😁😁😁😁 imeshageuka kua white elephant
 
Fananisha manzese na makuru kayaba😁😁👇👇 nyie munafkiri mzungu mjinga sana
View attachment 1373056
Screenshot_20200229-213747.png
 
Back
Top Bottom