Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania naombeni muwe na subra mwaka huu kwani mutapokea matusi, mapovu na ngumi nyingi za hewani kutoka kwa majirani 😁😁😁👇👇👇 mwaswast Teargass Nicxie
IMG_20200218_114718.jpg
IMG_20200218_114721.jpg
IMG_20200218_114716.jpg
IMG_20200218_114713.jpg
 


Dar es Salaam kuna Hela, Kuna watu, kuna Mpira, Kuna treni za Umeme, Kuna Brt, Kuna marine transport, kuna modern Airport, kuna 3floor interchange, kuna beautful beaches, kuna Sea Bridges, kuna modern Bus station, kuna Gas cars, kuna The biggest Sports studios in Ea an Central, kuna modern university library, kuna the biggest city in Ea and Central, kuna biggest Football stadium in Ea an central, kuna Full 8 lane road with Brt, kuna Biggest Fish market in Ea n C, kuna Big and Modern Hospitals in Ea, daaah Simu imeisha charge ntaendelea[emoji1][emoji1][emoji1]


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Dar es Salaam kuna Hela, Kuna watu, kuna Mpira, Kuna treni za Umeme, Kuna Brt, Kuna marine transport, kuna modern Airport, kuna 3floor interchange, kuna beautful beaches, kuna Sea Bridges, kuna modern Bus station, kuna Gas cars, kuna The biggest Sports studios in Ea an Central, kuna modern university library, kuna the biggest city in Ea and Central, kuna biggest Football stadium in Ea an central, kuna Full 8 lane road with Brt, kuna Biggest Fish market in Ea n C, kuna Big and Modern Hospitals in Ea, daaah Simu imeisha charge ntaendelea[emoji1][emoji1][emoji1]


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
Bro mbona ni kama umeniachia ugonvi alaf hamutambui kama mm ndio mwenyekiti nimekaimu nafas ya kadoda😁😁😁😁
 
Watanzania naombeni muwe na subra mwaka huu kwani mutapokea matusi, mapovu na ngumi nyingi za hewani kutoka kwa majirani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji116][emoji116][emoji116] mwaswast Teargass Nicxie
View attachment 1361480View attachment 1361482View attachment 1361481View attachment 1361483
Aaaah subutu ,ile SGR Yao embu na waipost basi tuone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hapa tumewapiga 3 buyu bila wasiwasi...
Kitu pekee wanajivunia ni stesheni basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom