Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

They cant differentiate Kibera slums from Kibra constutuency that has the 185k people.. so pitiful!
Kibra is a constituency and Kibera slum is within Kibra constituency. Kibra as a constituency consists of the following wards: Lindi (which is the greater kibera slum), Woodley, Makina, Sarang'ombe and Laini Saba. All these wards collectively have 178,000 voters. Places like Upperhil Hill (which also has considerable number of residents) falls within Kibra constituency same as Ngumo, Kenyatta market, Nairobi West and many other areas. These areas of course fall under different wards I have mentioned above. How comes then that Kibera alone has 2.5 million people? How logical is that?
 
Just like I have said, you are stupid by default. You can't disagree with an independent body that did headcounts just because the results are different with what you expected.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hii video wananchi wa hilo eneo wanadai kwenye sensa ya 2009 kulikuwa na watu zaidi ya M na kitu halafu sensa ya mwaka jana jubilee ikatoa data eti Kuna watu laki nane halafu wewe unakuja na ujinga wako hapa😂😂😂
 
According to KNBS, Kibera Sub county is 12.1km² with a population of 185,000 in 2019.

According to Ichoboy, Kibera slum with 2.5km² is 2,500,000.

Kibra is a constituency and Kibera slum is within Kibra constituency. Kibra as a constituency consists of the following wards: Lindi (which is the greater kibera slum), Woodley, Makina, Sarang'ombe and Laini Saba. All these wards collectively have 178,000 voters. Places like Upperhil Hill (which also has considerable number of residents) falls within Kibra constituency same as Ngumo, Kenyatta market, Nairobi West and many other areas. These areas of course fall under different wards I have mentioned above. How comes then that Kibera alone has 2.5 million people? How logical is that?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hii video wananchi wa hilo eneo wanadai kwenye sensa ya 2009 kulikuwa na watu laki moja na kitu halafu sensa ya mwaka jana jubilee ikatoa data eti Kuna watu elfu 50 na kitu tu halafu wewe unakuja na ujinga wako hapa
Unafana na hao watu wako kwa ujinga. In 2010 after new constitution, some places were divided into two or three sub counties. How did they expect to have the same number or higher after division?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchumi wote ni investors wazawa pesa hawana😁😁😁👇👇👇👇

 
Sio kwamba hamuwezani nayo ni kwamba hamna sehemu za kujenga wala uwezo huo
Well planned na mmezungukwa na slums kila kona,
Tuna ifahamu Nairobi na Kenya nzima nje ndani,
Unaishi bedsitter ambayo harufu pekee ya mdomo inatosha kuharibu hali ya hewa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom