Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,954
- 27,949
Tukinyimwa unalia tukipewa unalia![]()
Tupo kwenye mazungumzo,
Tupo kwenye mazungumzo,
Hii hukuona.
That's kibera and the whole world knows it's a slum. Kariobangi mnayoitanga slum unaweza linganisha na ile picha imeletwa hapa a few pages back?
Fact kutoka kwenye akili yako fupi,Hakuna cha mazungumzo hapo. The fact remains that mlinyimwa loan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kariobangi is 90% apartments ila wenzako kila siku hapa wanasema ni slum. Alafu hiyo kuhusu roofing materials, I was wondering about the same. It makes your residentials look terrible. They should consider using tiles instead considering the hot weather of Dar. Nairobi nyumba nyingi ambazo sio apartments hutumia tilesNo way. Slum ni zile za Kibera. Labda wanatania. Hivi Watanzania wenzangu hakuna roofing materials nyingine zaidi ya mabati na tiles?
Tiles ni expensive, pia nzito. Gharama za ujenzi zitakuwa juu sana. Ndio maana nyumba zenye tiles ni chache. I believe kuna other cheap and attractive materials zaidi ya batiKariobangi is 90% apartments ila wenzako kila siku hapa wanasema ni slum. Alafu hiyo kuhusu roofing materials, I was wondering about the same. It makes your residentials look terrible. They should consider using tiles instead considering the hot weather of Dar. Nairobi nyumba nyingi ambazo sio apartments hutumia tiles
🤣🤣🤣👇👇👇 wamekuja wenyewe world bank
Wamezileta wenyewe magufuli ana miaka minne madarakan Hajawah kwenda nje ya Africa wakat kenyatta kila baada ya mwezi utakuta kashaenda kwa bwana zake🤣🤣🤣
Very good na hio hio dunia ndio inafahamu dar hakuna slum 🤣🤣🤣 alaf usisahau Nairobi pekee kuna slums zinazoongoza dunia kwenye top 10 slums 3 zinatoka nairobiThat's kibera and the whole world knows it's a slum. Kariobangi mnayoitanga slum unaweza linganisha na ile picha imeletwa hapa a few pages back?
Nothing to celebrate hapo boss. It's spending on infrastructure not quality of infrastructure. The major thing that has bridged that gap is the SGR while Kenya has slowed down on spending. That's the reason your economy is growing faster at the moment. Same case with Rwanda. Anyway, you guys only read headlines.![]()
Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects - CCE l ONLINE NEWS
Tanzania is now at per with Kenya in terms of infrastructure projects, both recording 51 projects in 2019, a new report has revealed.cceonlinenews.com
Hukusoma hii am sure🤣🤣🤣🤣Nothing to celebrate hapo boss. It's spending on infrastructure not quality of infrastructure. The major thing that has bridged that gap is the SGR while Kenya has slowed down on spending. That's the reason your economy is growing faster at the moment. Same case with Rwanda. Anyway, you guys only read headlines.