Tena sana kutoka 24b mpaka 104b ni jambo kubwa sana na uzuri all domestic flights wamechukua wao na sasa wameanza international flights hapo pia wajiweke vzr kama walivojiweka kwenye domesticsKiukweli ATCL inaenda vzr ipo ni lazima ionekane bdo inapata hasara kutokana na ukweli kwamba imerithi madeni ya nyuma mfano sh180bill hvyo inaelekea kuzur na soon itakuwa tishio kwenye ukanda huu
KQ 55 international destinations, ATCL 5 international destinations.Air Tanzania 3 yrs = 11 brand new aircrafts
Kenya airways 30 yrs = 3 aircrafts
Alaf wanakuja kutafuta mchawi jamii forum[emoji16][emoji16]
One year revenue from 24b to 104bKQ 55 international destinations, ATCL 5 international destinations.
KQ revenues ksh58b, ATCL revenues Ksh 4b.
JKIA 7.5m Passengers per year, JNIA 1.5m passengers per year.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] basi mkuu inatosha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1344680
58b zinaishia kwa wenye ndege zao alaf munabaki kutumia pesa za tax payers over 16b kulipa madeni ambayo hamujamaliza kulipaπππππ na on top of that kila mwaka lazma mfukuze na kupunguza wafanyakaziKQ 55 international destinations, ATCL 5 international destinations.
KQ revenues ksh58b, ATCL revenues Ksh 4b.
JKIA 7.5m Passengers per year, JNIA 1.5m passengers per year.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππ[emoji3][emoji3] basi mkuu inatosha
aren't they valid reasons? ama your thinking stops at per click?Yaani nilijua tu visingizio kama hivi utavileta wala Sishangai,
Endelea kuficha kichwa kwenye mchanga.
hakuna kitu mpya ataniambiaNtamuita hydrogen aje akupe za uso!
Leo Sina Muda wa kubishana na watu wabishi wasio waelewa,aren't they valid reasons? ama your thinking stops at per click?
Tahadhari mtu hapewi eti kwa sababu kuna uwezekano atashindwa kulipa deni. It's just a way of ensuring you do not borrow above what's considered healthy, if you know what I mean. Tunapewa mikopo kwa sababu tuko na uwezo wa kulipa. Hatungekuwa na huo uwezo, hatungepewa hizo mikopo in the first place. Hata benki ukienda kuchukua mkopo they first look at your credit history and ability to pay. You can't get a loan from any lender if there's a high chance that you'll default, or if you've defaulted before. Sisi sio kama nyinyi mnaosamehewa madeni. Uwezo wa kulipa deni tunayoKama hamjashindwa kulipa deni kwanini mpaka mkapewa tahadhari na deni lenu linazidi kuongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
104 billion ya kitanzania, which translates to 4 billion KSH. We are talking about KSH, sio pesa za madafuOne year revenue from 24b to 104b
View attachment 1344692
Passengers from 4000 to 45000 within one year
View attachment 1344691
17 destinations 10 domestic and 7 international within 1 yrsπππππView attachment 1344690
Enyewe wewe inahitaji tu maombi. Am sure even your fellow Tanzanians are wondering how you sometimes reason. Hata mtoto wa chekechea has a better understanding kukuliko. 58b itakuwaje ya wenyewe wakati hio ndio revenue KQ made? Unajua maana ya revenue kweli wewe kilaza? Ni mapato, kwa lugha ya kiswahili. As I always say, you are the most stupid and misinformed Tanzanian in this forumUnanionesha 58b za wenyewe πππ kazi yenu ni kuchukua pesa za taxpayers kufidia madeni ya kqπππππ
Hata mimi nilishangaa sana kuhusu hiyo Tweet. What baffled me most is how Tanzanians were carried away by that misleading Tweet. The deepest lake in the world is Lake Baikal in Russia which also doubles as the oldest in the worldJamaa amekosea kidogo, ni the second "deepest" lake in the world.
Mapato inakuwaje profits? Do you know how to calculate profits and losses. I thought this is basic knowledge every Tanzanian should have! SMHKuna mjinga mmoja alihoji kuhusu profit Air Tanzania
πππππππππView attachment 1344547
Kumbe hata wewe pia hujui vile profits and losses are calculated? Kweli birds of the same feathers flock together! I thought you were different. How are revenues considered as profits??????Ingekua Ni habar ya hasara wangeshapost usifikiri Hii hawajaiona....maumivu yake wanajua wenyewe ...
Sent using Jamii Forums mobile app