babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Eti kisa wamekopa pesa za kujenga mitungi yao ya changaa basi wanadhani kila mtu kakopa,Yani wiki hii Amelia sana sasa wao wamefika 70% uozo sasa anataka tufanane kwenye uozo 🤣🤣 do yale yale kisa wao wana slum za kutisha sasa anataka alazmishe na sisi tuwe nazo🤣🤣🤣
Eti kisa wana deni kubwa basi wanadhani kila mtu ana deni kubwa,
Yaani vitu vikishindikana kwao basi hudhani haviwezekani popote,
Mjinga mwingine anafananisha kariakoo sijui na upumbavu gani, hivi anafahamu kariakoo inategemewa na nchi ngapi 😂😂😂
