Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

update Mwanza slipway construction n Mv Vctoria rehabilitation n Mv Mwanza Hapa kazi tu construction

 
wataelewa tu kidogo kidogo

afu nafikiria hizo barabara pemben mkandarasi alizozijenga kwa mda.. kwann serikali baada ya mradi kuisha..isijenge barabara ya rami ya njia mbili tu (two lane roads) ili kurahisha usafir wa kwenda vituoni.. pia hata kufatilia mradi usihujumiwe (ulinzi)???
Na ndio Lengo kuu kwasababu mradi mzima utazungushiwa uzio
 
Enyewe Mombasa na daresalaam zinaendana sana
tapatalk_1566231219367.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Post tena mbona haifunguki
jaribu hii mkuu,mungiki kaiweka kenya namba 7 kwenye nchi salama afrika,halafu akatumia picha za dar eti ndio nai,watu wamemchana vibaya tena wengine hata sio Watanzania,hawa jamaa sijui wataacha kuwadanganya watu!
 
Back
Top Bottom