Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pole sana 😂😂😂 sishangai mkenya Kuandika utumbo humu maana ni kawaida yenu,
Soma kwanza hii.
Number 224 in the world. Woooow this is supposed to be a big deal??? Clearly we have different standards ......
 
Number 224 in the world. Woooow this is supposed to be a big deal??? Clearly we have different standards ......
Naona hujaona namba moja kwa Africa umeiona tu hiyo 😂😂😂
Mwakinyo ni bondia wa 19 wa dunia kwenye uzani wa super welter na namba moja Afrika na Tanzania katika uzani huo huku kwenye pound of pound amekamata nafasi ya 224.
 
Jamaa hua wanadhani Dar ni blue towers pekee...wanajitia upofu

Hii city inakua kila idara...wakizidiwa huanza kuleta picha za Adis Ababa na Mombasa but we don't give a fxxk
tapatalk_1576932633905.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Please remove these dwarf buildings here, none of those those buildings is above 15 floors. Hiyo hata Ngara can discipline.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kizuri kitaftie kasoro. ..

Don't you see millennium tower 30flr, sky tower 22flr,Noble victoria 16flr each,n most of the Upanga towers has 15flrs buildings, n the tallest building in Upanga uhuru height has 27flr followed by umoja wa Vijana towers 25flr each ...

Upanga ina pumzi ya kukumbiza mwizi yoyote apo Nairobi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizuri kitaftie kasoro. ..

Don't you see millennium tower 30flr, sky tower 22flr,Noble victoria 16flr each,n most of the Upanga towers has 15flrs buildings, n the tallest building in Upanga uhuru height has 27flr followed by umoja wa Vijana towers 25flr each ...

Upanga ina pumzi ya kukumbiza mwizi yoyote apo Nairobi

Sent using Jamii Forums mobile app
Millenium is 27 floors and we should not even argue about that. Were is Uhuru heights in that picture?
 
Jamaa hua wanadhani Dar ni blue towers pekee...wanajitia upofu

Hii city inakua kila idara...wakizidiwa huanza kuleta picha za Adis Ababa na Mombasa but we don't give a fxxk View attachment 1335048

Sent using Jamii Forums mobile app
kutotembea kweli ni shida. Hizo zote weka pamoja haziwezi hata fikia level ya Roysambu or Kasarani. You're simply living in denial. All modern buildings in Dar ukiweka pamoja honestly haziwezi fika hata 10% of what is in Nairobi. Kama uko insecure about Mombasa then here's a picture. If you have brains you'll see hakuna difference between Dar and Mombasa except for the three blue towers
msa2.jpg
 
Thanks for confirming that Tanzanians use 1% of their brains, I'm sure you are also included in that bracket
Kweli watanzania hutumia wengi hutumia 1%ya akili yao sijawai ona post ya KiPUMBaVu namna hii..hawa watu hawafanyi research wanakurupuka tu 1st buyer wa A220 ni Swiss , Air Batlic..wakafwata korean air hayo yote ni makampuni makubwa kuliko lolote africa..na wakaamini na kuzinunua na wanaorder nying kuliko air Tz ...na hio ndege tatizo lake kila kampuni linazo ..sasa anavyosema mtumba labda kampuni zote zimeuziwa mtumba ..

Kuna kipindi a220 zetu zilikuwa hazifanyi kazi zilikuwa grounded na mara kwa mara zinaenda for checks..na kuna information waliambia kuhusu ceeling height ya hizo ndege...
Plus life span ya ndege zote duniani ni 30-35 years sasa nashangga huyu mTz hana akili kabsa pumbavu kila kitu wanaingiza politicsView attachment 1334861View attachment 1334862View attachment 1334863View attachment 1334866

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KQ and ATCL started at the same time. KQ right now has a total of 41 fleet, 20 owned and 21 leased. KQ has a total of 55 International destination while ATCL has 5. KQ own Jambo jet with 11 planes and also have 50% shares in precision airline. What do ATCL have?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatukatai air Tanzania ilikufa kabisa na ilihujumiwa ila tumeifufua within 3 yrs with 11 brand new aircrafts cash deal my friend kitu ambacho kq hujawah kuhujumiwa na ilikua in service for more than 3 decades ila cha kushangaza inamiliki ndege tatu 🤣🤣🤣🤣🤣 huku loss ikiramba makalio yenu miaka 8 sasa
 
Tuongeze na hii 😂😂😂
1. 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu.

2. 5, 000 acres in Thika.

3. 20,000-acre one, also known as Gichea Farm,

4. 5, 000-acre Muthaita Farm

5. 9,000 acres in Kasarani Mwiki

6. 29, 000 acres in Kahawa Sukari

7. 50, 000 acres in Taita

8. 52,000-acre farm in Nakuru

9. 24, 000 acres in Taveta

10. 10, 000-acre ranch in Naivasha.

11. 10, 000 acres in Rumuruti

12. 40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province
mmeshindwa kucompete inabidi ku attack personalities 😂 😂
 
Back
Top Bottom