Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ATCL inachapa routes za ndani kama nganya na mnamake losses like no ones business.[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 3 ndege 11 brand new cash deal na nne ziko njian mwaka huu 😀😀😀😀😀 KQ miaka 50 inamiliki ndege 3
Huku ndege 20 zikiwa mumelease na 17 ni mkopo hamujalipa mpaka kesho munamiliki nyinyi ni ndege 3 chakavu😀😀😀😀😀
 
Niletee official link Kua kq inamiliki ndege 20 nasubiri hapa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unataka kufanya watu wapuuzi humu
Kenya sio size yenyu[emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 3 ndege 11 brand new cash deal na nne ziko njian mwaka huu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] KQ miaka 50 inamiliki ndege 3
Huku ndege 20 zikiwa mumelease na 17 ni mkopo hamujalipa mpaka kesho munamiliki nyinyi ni ndege 3 chakavu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Level yenyu ni jambojet.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya sio size yenyu[emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
Labda habari imekushinda kusoma umejikanyaga😀😀😀😀👇👇👇👇👇
Ndege 20 leased
17 deni na hamujalipa maana yake sio zenu
3 ndio munamiliki kabisa😀😀😀😀😀
Screenshot_20200126-015314_Chrome.jpg
 
Level yenyu ni jambojet.

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀leo umejikanyaga kiutamu sana 😀😀👇👇
Labda habari imekushinda kusoma umejikanyaga😀😀😀😀👇👇👇👇👇
Ndege 20 leased
17 deni na hamujalipa maana yake sio zenu
3 ndio munamiliki kabisa😀😀😀😀😀View attachment 1334805
 
Kenya sio size yenyu[emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
Point ni ileile munamiliki ndege tatu ndio maana ya fully owned😀😀😀😀 20 leased na 17 ni mkopo hamujalipa na siunajua deni la ndege linavokua haiwez kua ndege yako mpaka ulipe
 
It was which year😀😀😀😀😀😀
That was before the year 2000, 1998 or 1999 to be precise . Teleposta Towers was still under construction as you can see in the picture. Westlands was still nonexistent by then. Halafu tunaambiwa hapa eti Nairobi ilijengwa na wazungu. What stupid morons!
 
Kelele zote hapa miaka 50 munamiliki ndege tatu hahahhahaha 😀😀😀😀😀😀😀
 
Point ni ileile munamiliki ndege tatu ndio maana ya fully owned[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] 20 leased na 17 ni mkopo hamujalipa na siunajua deni la ndege linavokua haiwez kua ndege yako mpaka ulipe
I guess kusoma ndio hujui, hapo imeandikwa vizuri that "they fully own 20 planes..." Wewe ulienda shule kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That was before the year 2000, 1998 or 1999 to be precise . Teleposta Towers was still under construction as you can see in the picture. Westlands was still nonexistent by then. Halafu tunaambiwa hapa eti Nairobi ilijengwa na wazungu. What stupid morons!
Basi mulijisahau sana munatafuta shuka kumekucha ni zile dharau mlikua nazo ndio zimewafkisha hapo😀😀😀😀😀😀
 
I guess kusoma ndio hujui, hapo imeandikwa vizuri that "they fully own 20 planes..." Wewe ulienda shule kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhehehehhehe 3 fully owned and 17 still ni deni na maana yake ukishindwa kulipa inapigwa mnada maana yake sio yako mbona taarifa iko wazi😀😀😀😀😀😀😀
 
Unasahau Kenya hawajawaishindwa kulipa deni kama Tanzania?[emoji23][emoji23][emoji23]Sisi hatuezishindwa kulipa deni.
Uhehehehhehe 3 fully owned and 17 still ni deni na maana yake ukishindwa kulipa inapigwa mnada maana yake sio yako mbona taarifa iko wazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom