ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Uhehehe mambo yamekubana leo😀😀👇👇👇
Uhehehe mambo yamekubana leo😀😀👇👇👇
Hvi wewe kwanza unaijua kariakoo kwanza😀😀😀😀Lol......unaweza niletea aerial view unichoree sketch boundary ndio nikija dar kariakoo isiwe ni panga
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhehehe leo mambo magumu sana dar hamjui nyinyi munaota ni ile ya 90s😀😀😀😀😀Unazunguka mbuyu na picha za folder from 2015.....kweli ngoma mzito
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiria mapovu sasa wao wanajua bado ile tz ya 90s😀😀😀😀😀😀😀
Lete ww unachoamini utuamishe km hiyo huiamini
Tumehamisha magoli sasa😀😀😀😀😀Live flight radar traffic updates......JKIA msichezee nyangau......Nairobi na Kenya iko next levelView attachment 1334797View attachment 1334798
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhehehhehe this time hamutaamini munachokiona trust me na hili nilijua 😀😀😀😀
Mumebaki munalia na hasara za kq miaka 7 sasa huku munamiliki ndege tatu miaka 50 😀😀😀😀Live flight radar traffic updates......JKIA msichezee nyangau......Nairobi na Kenya iko next levelView attachment 1334797View attachment 1334798
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafurahi sana kuona Wakenya ss wanaadabuKwan unafkiri mm siwajui nyinyi![]()

ukitaka kumdhoofisha mkenya we mwambie Tz kuna slum wee ataruka uyoo







😀😀😀😀😀😀Nafurahi sana kuona Wakenya ss wanaadabuukitaka kumdhoofisha mkenya we mwambie Tz kuna slum wee ataruka uyoo

Mumebaki munalia na hasara za kq miaka 7 sasa huku munamiliki ndege tatu miaka 50![]()
Air Tanzania imefufuliwa miaka tatu sasa ina ndege 11 brand new cash deal![]()
KQ wako na 20 planes.Mumebaki munalia na hasara za kq miaka 7 sasa huku munamiliki ndege tatu miaka 50![]()
Air Tanzania imefufuliwa miaka tatu sasa ina ndege 11 brand new cash deal![]()