What was the normal play time score......Tanzania can never beat us in a 90 minute game
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa yako Nigeria ilishindwa kufuzu baada ya kufungwa na Togo,
Senegal ilishindwa kufuzu baada ya kufungwa na Guinea,
Ghana ilishindaa kufuzu baada ya kufungwa na Burkina Faso,
Ivory Coast ilishindwa kufuzu baada ya kufungwa na Niger,
South Africa ilishindwa kufuzu baada ya kufungwa na Lesotho,
Unaita small tournament kwa sababu timu yenu haikufuzu baada ya kupokea kichapo kikali cha 4-1 kutoka kwa timu ya Tanzania![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
