Gor uses Kasarani as their home ground.Sawa, tupostie uwanja wa gor mahia tuone.
Gor uses Kasarani as their home ground.Sawa, tupostie uwanja wa gor mahia tuone.
Hata wewe tukikupiga filters utapendeza sana 😂😂😂
Filters ziko wapi kwenye hizo picha?
Wewe unafaa kupimwa akili. Ilala is just uswazi like any other place in Dar with its trademark Swahili wretched hovels View attachment 1334440View attachment 1334441View attachment 1334442
With that logic, you understand why we don't have any other big stadium in Kenya yet? or don't have a club that can seriously compete at continental level?Huwezi kufanikiwa katika kila aina ya sports,hiyo ni fact.. wabongo tunapenda sana football na ndiko tunakowekeza..
Oya mbona mgumu kuelewa??!!..Acha ujinga wewe, say whatever you wanted to say in Swahili. That's what I meant by the word "translate in Swahili". Let's say sielewi Kingereza, how will you tell me that sentence in Swahili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hawana hata wa mazoezi, but haishangazi maana huwa wanalala hadi airport kwa kukosa pesa za kulipia hoteli.Gor uses Kasarani as their home ground.
![]()
Nairobi hosts world U18 IAAF and everyone is impressed
Everything is great, from hostels, stadium, transport system and warming up area. We are impressedwww.sde.co.ke
😀 Hivi unajua ni mwaka gani voda aliiacha rangi ya blue?
Sawa Mr PottyOya mbona mgumu kuelewa??!!..
We kama unataka kutumia kiingereza,tumia
na kama unataka kutumia kiswahili,tumia
na kama unaona inafaa kutumia vyote kama ulivyofanya hapo,fanya
Lakini huwa tunapokuwa tunazungumza lugha zaidi ya moja,usiwe una-translate..hiyo ni dalili ya kukariri lugha!utafeli..



😀 Hivi unajua ni mwaka gani voda aliiacha rangi ya blue?
Hiyo football mnayopenda sana mmefanikiwa kwa lipi? Last time tuliwachapa afcon. Hiyo ndio mafanikio??Huwezi kufanikiwa katika kila aina ya sports,hiyo ni fact.. wabongo tunapenda sana football na ndiko tunakowekeza..
kwanza Gor trains at the UNEP's global headquarters in GigiriSawa, tupostie uwanja wa gor mahia tuone.
hii mse nikama ya some primary schools hapa Kenya, wacha kujiaibisha
Kawaulize harambee kwanini hawakufuzu CHAN.Hiyo football mnayopenda sana mmefanikiwa kwa lipi? Last time tuliwachapa afcon. Hiyo ndio mafanikio??
Ni kiwanja chao?kwanza Gor trains at the UNEP's global headquarters in Gigiri
Jibu lao ni moja tu Tz hatuko interested na hayo mambo ila mwamko ukiwepo soon itajengwa tena ya kimataifa cc uku tunahangaika na soka japo return yke co kubwa but kwa ss tunasongaOndoa uchafu,takataka ambazo hata rwanda ki-nchi masikini kinaweza kujenga..ndo uanze kupiga piga kelele..leta stadium yenye capacity more than 60000,
Wanaume wa ukweli ndo hujenga vitu ka hivyo,sio takataka
Hiace hazibebi abiria kwa ss Tz so hyo pcha ni ya zamani sn af apo naona kuna hiace imeandikwa Tandika


dah kitambo sn ayseeWe also have waterparks better than anything in Kenya!hii mse nikama ya some primary schools hapa Kenya, wacha kujiaibisha
Nyinyi mko na yenye iko na capacity ya more than 60,000? Your National Stadium has a maximum capacity of 60,000 people, same as Kasarani StadiumLeta stadium yenye capacity more than 60000 ...don't bring us the rubs!!!..wanaume hatujengi vitu za kimaskini,huwa tunajenga big things..leta stadium yoyote africa mashariki inayochukua watu zaidi ya 60000..
Crawford new school at Tatu City with a similar thing. Imagine wangapi wengine wanazo? my local swimming pool is even bigger