Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I'm not talking about the size of the station, I'm talking about attractiveness. Your stations are ugly.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hapo kenya kila kitu ni ugly ndio maana hata vitu vizuri mnaona ugly halafu ukichanganya tena na wivu baada ya kujengewa treni za 60s tech zinazotoa moshi mzito lazima uongoze juhudi za wivu maana ndicho kilicho baki tu😂😂😂
 
Usisahau kuja kuwabeba vibaka, majambazi na wezi wenu waliojazana kwenye magereza ya Tanzania.
We all who are rapist and drug dealers in East Africa. Are you aware that Tanzania was the cause of the latest xenophobia in South Africa. Because most of your kinsmen are poor down there, they resort to selling drugs and raping young girls. When found, they kill the police men. Last week four of your countrymen were convicted in Turkey for drug trafficking, here in Kenya mmejazana in our prisons for terrorism cases.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa Aisee, kama hiyo aloipost haiwezi ifikia mbeya
Hehehe if you want to know what stupidity is just go to Tanzania.
Let the pictures talk, first picture is your Mbeya godown and the second and third pics are Voi.
tapatalk_1579949437077.jpeg
IMG_20200125_133100.jpeg
IMG_20200125_133304.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukinionyesha station nzuri Tanzania nahama huku and I'm serious.
Tatizo hapo kenya kila kitu ni ugly ndio maana hata vitu vizuri mnaona ugly halafu ukichanganya tena na wivu baada ya kujengewa treni za 60s tech zinazotoa moshi mzito lazima uongoze juhudi za wivu maana ndicho kilicho baki tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Look at this, this is Voi SGR station. It's better than that godown you're building in Dar in the name of a stationView attachment 1334097

Sent using Jamii Forums mobile app
Upimbi ulio kichwani mwenu ni wa kiwango cha lami yn mnaacha ku discuss mradi uliogharimu maisha yenu na vizazi vyenu eti unaongelea stations asa station ndo nn kuna raha gani abiria kukaa stesheni nzr af akaenda kukumbana na moshi safari nzma cc stesheni zetu ni za kawaida ila ni modern quality and are a good reflection of value for money na baada ya hapo abiria anaenda kupanda treni ya kisasa kabsa ambayo haipatikani seem nyng duniani nyie mnatakiwa muihoji GOK kwnn iliingia mkataba wa kishenz km huo uliopelekea kujengewa stesheni nzr za kuwafumba midomo af mletewe gari moshi at the cost of electric
 
First quiz, wapi hiyo train ya kisasa?
Second quiz, show us those modern stations you are talking about
Upimbi ulio kichwani mwenu ni wa kiwango cha lami yn mnaacha ku discuss mradi uliogharimu maisha yenu na vizazi vyenu eti unaongelea stations asa station ndo nn kuna raha gani abiria kukaa stesheni nzr af akaenda kukumbana na moshi safari nzma cc stesheni zetu ni za kawaida ila ni modern quality and are a good reflection of value for money na baada ya hapo abiria anaenda kupanda treni ya kisasa kabsa ambayo haipatikani seem nyng duniani nyie mnatakiwa muihoji GOK kwnn iliingia mkataba wa kishenz km huo uliopelekea kujengewa stesheni nzr za kuwafumba midomo af mletewe gari moshi at the cost of electric

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We all who are rapist and drug dealers in East Africa. Are you aware that Tanzania was the cause of the latest xenophobia in South Africa. Because most of your kinsmen are poor down there, they resort to selling drugs and raping young girls. When found, they kill the police men. Last week four of your countrymen were convicted in Turkey for drug trafficking, here in Kenya mmejazana in our prisons for terrorism cases.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wangapi ndio kujazana 😂😂😂
Hivi una habari ni mara chache sana mwezi kupita bila wakenya kukamatwa wakisafirisha madawa ya kulevya,
Majambazi kutoka kenya wamejazana magereza ya Tanzania, juzi kati wahamiaji haramu kutoka kenya walipata msamaha wa rais,
Au habari kama hizi zikihusu kenya unapita kama huzioni Yaani.



 
Hawa c wajinga wanababaika na vitu vdg vdg km apo mchina kaangalia afanyeje ili kuwafumba midomo akawawekea mavioo marefu wakasaau kuwa wamepgwa


Nimemuacha abwatuke naona hajaelewa nilichomwonesha, ukitoa hivyo useless glasses inakua kaa supermarket ya petrol station
 
Af me nadhani kuhusu suala la train ya umeme tusijadili mana wao hawana ata mpango wa kuwa na train ya umeme ss tunajadili nn
Huyu huwa anajifanya kichwa ngumu ila huwa anakula kichapo then atachange gear hewani then atakula tena kichapo then atapotea kwanza 😂😂😂
 
Back
Top Bottom