Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

lakini tz is extremely poor.....ona kigoma ni kama refugee camp.though on patriotism wako poa..lol

Ukiona hivi ujue kuna sindano mahali inekuingia penyewe,
Lakini hawapewi misaada ya chakula kama wakenya 😂😂😂
IMG_20200125_131342_983.JPG
IMG_20200125_131359_046.JPG
IMG_20200125_131413_548.JPG
IMG_20200125_131413_548.JPG
IMG_20200125_131324_018.JPG
 
Wapi treni zenyu? I can remember like around 1 year back venye mlikuwa mnabweka how your stations are going to be the best in Africa, where are they now?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunajenga station kubwa sehemu muhimu tu au mlitaka tukajenge stations kubwa kubwa porini?
Hatufanyi miradi yetu kwa kukurupa ovyo kama nyie,
Yaani station zenu mtu anapanda juu kisha ndio ashuke chini kupanda treni 😂😂😂
Mmejengewa treni zinazotoa moshi na kuchafua mazingira 😂😂😂 mchina alicho wafanyia sio poa yaani,
Treni zenu hazina tofauti na treni zetu za 60s 😂😂😂
 
I'm not talking about the size of the station, I'm talking about attractiveness. Your stations are ugly.
Tunajenga station kubwa sehemu muhimu tu au mlitaka tukajenge stations kubwa kubwa porini?
Hatufanyi miradi yetu kwa kukurupa ovyo kama nyie,
Yaani station zenu mtu anapanda juu kisha ndio ashuke chini kupanda treni
Mmejengewa treni zinazotoa moshi na kuchafua mazingira mchina alicho wafanyia sio poa yaani,
Treni zenu hazina tofauti na treni zetu za 60s

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom