Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa nasema hapa kila siku kwamba hawa watu wanaleta links hapa bila hata kujuatanasema nini. It's true that happened during doctor's strike ila huyu Hajasema hata link inasemaje
Uzuri tunawajua,
HUKU serikali ikinuia kuhakikisha kuwa Wakenya wote wanapata huduma bora za afya kufikia mwaka wa 2022, wenyeji wa kaunti ya Taita Taveta wangali wakisafiri hadi Tanzania kutafuta matibabu.

Taifa Leo ilibaini kuwa idadi ya wenyeji wa eneo hilo wanaosafiri hadi Tanzania kutafuta matibabu imeongezeka.

Baadhi ya familia zimelazimika kupeleka wagonjwa wao katika hospitali ya Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) iliyo Moshi na Faraja iliyo Himo, baada ya hospitali za kaunti hiyo kukumbwa na uhaba wa vifaa na dawa.
 
Ngoja tuwawekee na picha kabisaa hii wiki itawakela sn
Screenshot_2020-01-21-10-42-10.jpeg
 
Back
Top Bottom