The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Nadhani alitaka kumaanisha daraja la nyerere akajikuta anachanganya na kigongo Busisi la Mwanzadaraja hili halijengwi Dar bali Mwanza umechanganya!
Nadhani alitaka kumaanisha daraja la nyerere akajikuta anachanganya na kigongo Busisi la Mwanzadaraja hili halijengwi Dar bali Mwanza umechanganya!
Ama new Selander bridge! 😀Nadhani alitaka kumaanisha daraja la nyerere akajikuta anachanganya na kigongo Busisi la Mwanza
Silanga nayo Ni slumOf course only kibera looks like 90 % of daresalaam neighbourhoods.....check Nairobi on Google earth uone kama inafanana na hiyo takataka yenu daresalaam View attachment 1329149
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unadhani chuki zako zitabadilisha ukweli?Lol.....ati crossing to ldc Tanzania.......or you are referring to that old story where taveta residents crossed for treatment because of the 3 month doctor's strike....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuelewi, use kiswahiliHow many till now if only one till now doesn't count considering many ur patients cross to Tanzania to get same treatment!
Silanga is in kibera
Huwa nasema hapa kila siku kwamba hawa watu wanaleta links hapa bila hata kujuatanasema nini. It's true that happened during doctor's strike ila huyu Hajasema hata link inasemajeLol.....ati crossing to ldc Tanzania.......or you are referring to that old story where taveta residents crossed for treatment because of the 3 month doctor's strike....
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani Kenya wapate usafiri wa marine kama huu yesu atashuka saa hio hio



Pia dar mafia kitu muhimu sana na dar Comoros pia muhimu zaidi🤗🤗🤗Waangalie uwezekano wa safari za Dar-Znz-Mombasa pia kukuza utalii!
Huo ndio upumbavu waliobakia nao😀😀😀😀Oyoo wakenya tunawaomba msituchanganyie wazungu kuhusu samatta tafadhali.
Wanyama yupo.
Wakati Mourinho hamtaki 😂😂😂Oyoo wakenya tunawaomba msituchanganyie wazungu kuhusu samatta tafadhali.
Wanyama yupo.