joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Sasa kama mwanafunzi " Examination results" zinazuiliwa baada ya kumaliza shule mpaka atakapolipa deni lake la " School fees", hiyo inamaana gani kama sio " Tuion fees?".I thought you were going to give me a link where the Minister says these words as per what you said. "wale wanafunzi ambao watashindwa kulipa " tuition fees" wasirudishwe nyumba". That clip only talks about parents who are unable to raise school fees for their children, a totally different thing from what you said
Sent using Jamii Forums mobile app
