Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Uliza Hili gazeti
Uliza Hili gazeti
Kama Dar ndio hazipo vijijini zitatoka wapi?LOL hizo zipo Tanzania vijijini bro
Kwenye counties zingine itakuwa ndio balaa na ndio maana walikimbia ule uzi wa maji 😂😂😂LOL wananiachaga hoi tu wanavyoita mitaa yao "ESTATES"
Hili la maji machafu halistui sababu it's obvious that water is a permanent crisis in Kenya
Una uhakika kuwa hazipo Dar?Kama Dar ndio hazipo vijijini zitatoka wapi?
Mkenya hana uwezo wa kuishi kwenye nyumba nzuri,anachoweza mkenya ni kujenga kibanda cha mabati full sutiKaren is mostly occupied by wazungu. We all know that
View attachment 1324404
Uliza Hili gazeti
Kwani hao mademu ni akina nani mkuu??
Mbona haifunguki mkuuBora wampe huyu dar coach body builders watengenezeee tuu lakini sioo uyooo wa kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu leta tuzione,buildings quality kama hizi.Una uhakika kuwa hazipo Dar?
Ulifanya utafiti ama ni ile kukurupuka kama kawaida yenu?Ebu leta tuzione,buildings quality kama hizi.
View attachment 1324697View attachment 1324698View attachment 1324701View attachment 1324702View attachment 1324704View attachment 1324709
diamond d Naomba kujua kuhusu Dar CoachView attachment 1324659
View attachment 1324660View attachment 1324661View attachment 1324662
TANZANITE BUS
TANZANITE BOAT
TANZANITE SGR STATION
TANZANITE BRIDGE
DAAAH WE ARE TANZANITE
Just post the picsUlifanya utafiti ama ni ile kukurupuka kama kawaida yenu?


Sifaham ni kina nani huenda aliyeleta hii picha Nicxie anawajuaKwani hao mademu ni akina nani mkuu??

