Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
Hata Reuters ni Gazeti ya Kenya? 😂 😂 😂Source za magazeti ya Kenya ambayo yanaongoza kwa wivu dhidi ya Tanzania?.
Wewe umeona wapi "billboard" kuandika jina la "Financer" tofauti na aliyetoa pesa?, hivi unajua sheria za kimataifa katika miradi mbalimbali?. Unajua kwamba sheria inasema wazi wazi kwamba ukiandika tofauti basi ni sawa na kuvunja huo mkataba na unapaswa kumlipa fidia huyo "Funder?".
Sent using Jamii Forums mobile app
Then there's nothing like "funder". I only know of financier
