Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa ingefaa useome kwamba kulingana na wewe, unaona kwamba TPA is attractive ila usiseme kwamba ndio jengo attractive kushinda zote EA Kwa sababu watu wako na mtazamo tofauti na pia hakuna orodha inayosema kwamba it's attractive kushinda zote. Pengine kulingana nami hiyo TPA ama GTC should not come anywhere close to being called attractive. You have a very rigid mind and please don't make us think or reason the same way you do or look at things
Badala ya kuleta jengo,unaleta porojo..
 
Dar es salaam hyo jiji letu pendwa la Makonda
IMG-20191217-WA0017.jpeg
IMG-20191217-WA0031.jpeg
IMG-20191217-WA0032.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo mjadala ulishaisha pitia hapo
Wafanyakazi wa Tanzania hulipwa mishahara mikubwa zaidi Africa Mashariki
Ata wao wnyw wakija kufundisha uku huwa wanalipwa pesa nzr ndo mana Wakenya wanaosomea education ndoto zao kuja kuwa walimu Tz shame
 
Ata wao wnyw wakija kufundisha uku huwa wanalipwa pesa nzr ndo mana Wakenya wanaosomea education ndoto zao kuja kuwa walimu Tz shame
Bado watabisha,
Hawa wakenya wa Jamii forum ndio wale wa YouTube, mazuzu tupu, Wakenya werevu na wenye akili wapo tweeter.
 
Back
Top Bottom