Upande wa mitindo kiukwel Flaviana Matata anatuwakilisha vyema,Miriam Odemba huyu yupo kwenye cabinet ya miss world design kama tunafujo zetu kadhaaTulikua tunaongelea urembo.....but nipee mfano wa lupita...na wangai maathai nikutii
Huyo ata hakuna m2 anamjua Kenya to be sincereUpande wa mitindo kiukwel Flaviana Matata anatuwakilisha vyema,Miriam Odemba huyu yupo kwenye cabinet ya miss world design kama tunafujo zetu kadhaa
Ndio maana nilikwambia ata mm nisingekua mtu wa sinema lupita ningemfahamia wapi? Kwahyo wako watu wanafanya vizur Ila kuwafaham lazima uwe mtu wa interest izo...Huyo ata hakuna m2 anamjua Kenya to be sincere
Wazimu huita razini, wazimu! Tayari wewe mwehu dhahiri shahiri, watu wanajadili Dar na Nairobi, wewe unajadili Wanjala?? Kwa huu ukumbi, bila shaka wewe una akili taakhira!acha kuwa mzee wenzako washasema.....wew mbumbumbu ndiye unayesakata rumba unajitia vidole mwenyewe...[emoji31] [emoji31] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lupita anafahamika kwote unless wewe ni mbuzi....Ndio maana nilikwambia ata mm nisingekua mtu wa sinema lupita ningemfahamia wapi? Kwahyo wako watu wanafanya vizur Ila kuwafaham lazima uwe mtu wa interest izo...
Endelea kuamini ivyo lakini sivyo,Mtu maarufu Kenya ni kenyataLupita anafahamika kwote unless wewe ni mbuzi....
It's wangari maathaiTulikua tunaongelea urembo na fashion but juu umeruka story sawa...tuko na Martha karua only female with Nobel peace prize Africa....
Can't compare with lupita and wangari maathaiUpande wa mitindo kiukwel Flaviana Matata anatuwakilisha vyema,Miriam Odemba huyu yupo kwenye cabinet ya miss world design kama tunafujo zetu kadhaa
Kiukweli tz imejitahidi kupiga hatua kwenye miundo mbinuBaadhi ya barabara
Arusha -Tanga
Iringa-Mbeya
ilo ni daraja la mkapa uko kusini mwa Tz
The Tanzanian douchebags are still here trying to justify their ugly poor city....hehehe. Waende watafutane na kina Mozambique ndio watashtua na hiyo overgrown village yao ambayo wanaita cityNairobi, Residential areas
bado ni local...sana huyo mdada...Tulikua tunaongelea urembo na fashion but juu umeruka story sawa...tuko na Martha karua only female with Nobel peace prize Africa....
Hehehe these Tanzanians hakunanga hata kitu moja wanaeza tuambia....Kenyans tuko ligi soh.Wangari Maathai....Obama...Lupita. ..Wanyama....Mariga who has a champions league medal....Divok Origi........infact Diamond and Alikiba are popular coz of Kenyan support. ....Venessa Mdee pia alichanukia tu hapa NAIROBI akisoma Catholic University. .....[HASHTAG]#RespectTheOGz[/HASHTAG]Lupita anafahamika kwote unless wewe ni mbuzi....
wew ndiyo haumjui ila wajanja wadunia ....wanamjua ......ila hao wa kwenu ndiyo kabisa hawajulikani ni zero wanajulikana labda kwenye hizo nchi walizopoHuyo ata hakuna m2 anamjua Kenya to be sincere
Hapo sawa respecttheOG'sHehehe these Tanzanians hakunanga hata kitu moja wanaeza tuambia....Kenyans tuko ligi soh.Wangari Maathai....Obama...Lupita. ..Wanyama....Mariga who has a champions league medal....Divok Origi........infact Diamond and Alikiba are popular coz of Kenyan support. ....Venessa Mdee pia alichanukia tu hapa NAIROBI akisoma Catholic University. .....[HASHTAG]#RespectTheOGz[/HASHTAG]
Hakuna mkenya anamjua....period!!!!!!!!?????!!!!!!!!wew ndiyo haumjui ila wajanja wadunia ....wanamjua ......ila hao wa kwenu ndiyo kabisa hawajulikani ni zero wanajulikana labda kwenye hizo nchi walizopo