Ppmosile
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 1,232
- 1,890
Duh hv huu nao ni uwanja kweli mbona hata nyasi hazionekani naona udongo tu hapo kwenye pitchToa uchafu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1287063View attachment 1287068
Duh hv huu nao ni uwanja kweli mbona hata nyasi hazionekani naona udongo tu hapo kwenye pitchToa uchafu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1287063View attachment 1287068
Utamfukuza sasa hvi bro😀😀😀😀Unaleta kitu ambacho kipo kwenye mpango maana yake kwa sasa hiyo stadium haipo hapo kenya
Ngojea ukamilike ndo ulete picha ya hiyo stadium ikiwa imeshajengwaHatujazungumzia magari rudia upya kupost kinachohitajika
Kama nikikuona wa maana leta bus la gor mahia
Usipanic...[emoji116][emoji116][emoji116]Duh hv huu nao ni uwanja kweli mbona hata nyasi hazionekani naona udongo tu hapo kwenye pitch
Bwahahaa!!!mbna umekasirika k hvo..wazito fc hawatumii pesa ya babayako banaUnaleta kitu ambacho kipo kwenye mpango maana yake kwa sasa hiyo stadium haipo hapo kenya
Ngojea ukamilike ndo ulete picha ya hiyo stadium ikiwa imeshajengwaHatujazungumzia magari rudia upya kupost kinachohitajika
Kama nikikuona wa maana leta bus la gor mahia
Usikasirike basi[emoji23][emoji23]Asante kwa render bro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndipo hua unanifurahisha sana
Mwenzako bado yuko eastlands tu[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna hapo sijapost masaki wala oyesterbay nimempa mbezi na mikocheni tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado ki mpira wako vizuri, wakiipata simba wanaigaragaza vibaya sana[emoji23]Tafuta office ya team yoyote Kenya yenye jengo k kama hio ukipata nitag plz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Gor mahia inamiaka 50 inamiliki hichi kidude[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1287362
Wakat hii team imeanza juzi iko mbeya View attachment 1287363
Kwn siku hz kuna winner number 1,2 &3[emoji23][emoji23]Labda inawezekana ujui maana ya winner Kama sio winner hao washindi wa 2 na 3 wasingekuwa wanapewa zawadi
Embu tuambie ina mafanikio gani kwenye club bingwa Africa na ni timu ngapi za Kenya huwa zinashiriki club bingwa Africa 😂😂😂Na bado ki mpira wako vizuri, wakiipata simba wanaigaragaza vibaya sana[emoji23]
Lete majina ya hyo mitaa hapa[emoji23][emoji23][emoji23]mbna unaogopa banaBro be serious plz hio ni nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vitu kw ground ni differentAhahhaha kariakoo huijui wewe ngoja nikupe doziView attachment 1287355View attachment 1287356View attachment 1287357View attachment 1287358
UmeumiaBro be serious plz hio ni nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa niambie hio pic imepigwa umbali gani unaujua?????😀😀😀😀😀😀Vitu kw ground ni differentView attachment 1287453
Kimpira wawe sawa alaf wasiwe na maendeleo kabisa wanaenda nchi za watu wanalala airport😀😀😀😀😀😀😀😀Na bado ki mpira wako vizuri, wakiipata simba wanaigaragaza vibaya sana[emoji23]
Umepanic tayar😀😀😀😀😀😀Lete majina ya hyo mitaa hapa[emoji23][emoji23][emoji23]mbna unaogopa bana
The picture is really beautifulVitu kw ground ni differentView attachment 1287453
Tena hajui Kapost picha moja amazing😀😀😀 yeye kufkiri hapo kumaliza darThe picture is really beautiful