Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaleta kitu ambacho kipo kwenye mpango maana yake kwa sasa hiyo stadium haipo hapo kenya

Ngojea ukamilike ndo ulete picha ya hiyo stadium ikiwa imeshajengwaHatujazungumzia magari rudia upya kupost kinachohitajika


Kama nikikuona wa maana leta bus la gor mahia
Utamfukuza sasa hvi bro😀😀😀😀
 
Duh hv huu nao ni uwanja kweli mbona hata nyasi hazionekani naona udongo tu hapo kwenye pitch
Usipanic...
images.jpeg-8.jpeg
images.jpeg-9.jpeg
 
Unaleta kitu ambacho kipo kwenye mpango maana yake kwa sasa hiyo stadium haipo hapo kenya

Ngojea ukamilike ndo ulete picha ya hiyo stadium ikiwa imeshajengwaHatujazungumzia magari rudia upya kupost kinachohitajika


Kama nikikuona wa maana leta bus la gor mahia
Bwahahaa!!!mbna umekasirika k hvo..wazito fc hawatumii pesa ya babayako bana
 
Na bado ki mpira wako vizuri, wakiipata simba wanaigaragaza vibaya sana
Embu tuambie ina mafanikio gani kwenye club bingwa Africa na ni timu ngapi za Kenya huwa zinashiriki club bingwa Africa 😂😂😂
Note, Sijakuuliza local game za Kenya Nimekuuliza club bingwa Africa.
 
Back
Top Bottom