Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mjini
4bcb3ccbabd00497f69e1aa6e7d39a9b.jpg
images%20(1).jpeg
images%20(2).jpeg
 
Kuna watu hawaelewi kuhusu kitu kuwa “Financed by...”

mfano, mradi ukiwa financed by Government of Japan’s people in Tanzania .. bas serikali ya japan itatoa hela na itatafuta mkandaras mwenyewe.. yan kila kitu serikali ya Japan itatafuta yenyewe .. mfano mzuri ni Mfugare flyover (Japan/Jica not sure thou) au UDSM new library (china)

sasa kwa mradi kama SGR.. serikali ndo ina finance mradi wote, haijalishi hela ni za ndani au za nje, ndio mana mfano serikali ya South Africa ikitoa mkopo, si lazima kampuni ya SA ndo ijenge reli.. SGR ingekuwa financed na serikali ya nje kama nchi ya nje ingetoa mkopo na kampuni ya kutoka nchi hiohio ya nje ijenge reli.. mfano mzur katika hii ni mradi wa SGR Kenya(serikali ya china imetoa mkopo na ni kampuni ya china ndo imejenga reli) au serikali ya china ilivyotaka kufanya Tanzania kupitia benki ya Exim China, kama hio bank ingetoa mkopo bas na mkandaras angekuwa ni mchina.. huku ndo kuitwa financed by Government of China’s People
 
Back
Top Bottom