Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

chakula usiku
IMG_1575062498.104940.jpg
IMG_1575062510.076547.jpg
 
Muda mwingine serikali yetu inakera sana..sasa Diaspora hawaruhusiwi kununua Nyumba Tz ..ndo nini ..huku si kupunguza investments???....hii sheria waichange
Screenshot_20191130-082748.jpg
 
Muda mwingine serikali yetu inakera sana..sasa Diaspora hawaruhusiwi kununua Nyumba Tz ..ndo nini ..huku si kupunguza investments???....hii sheria waichangeView attachment 1276842
Walisema bado wapo kwenye mchakato wa kubadili sheria ya kumilikisha mtanzania yoyote mwenye asili aweze kumiliki hata kama si mkazi
 
Muda mwingine serikali yetu inakera sana..sasa Diaspora hawaruhusiwi kununua Nyumba Tz ..ndo nini ..huku si kupunguza investments???....hii sheria waichangeView attachment 1276842
Hiyo ni Sera iliyowekwa na baba wa taifa ili kuwalinda watanzania wa ndani. Mtu yeyote ambaye sio raia wa Tanzania, hawezi kumiliki ardhi na Mali zingine za nchi bila kukidhi vigezo vya uwekezaji, au ashirikiane na raia wa Tanzania katika kumiliki hizo Mali za nchi.

Mwalimu Nyerere alijua fika kwamba watanzania wa kawaida hawana pesa, akiruhusu watu toka nje kununua bila ya kudhibiti, watanzania watatupwa nje ya uwanja wa kumiliki uchumi, watabaki kuwa watazamaji tu, kama ilivyo "South Afrika au Israel na Palestrina".
 
Hiyo ni Sera iliyowekwa na baba wa taifa ili kuwalinda watanzania wa ndani. Mtu yeyote ambaye sio raia wa Tanzania, hawezi kumiliki ardhi na Mali zingine za nchi bila kukidhi vigezo vya uwekezaji, au ashirikiane na raia wa Tanzania katika kumiliki hizo Mali za nchi.

Mwalimu Nyerere alijua fika kwamba watanzania wa kawaida hawana pesa, akiruhusu watu toka nje kununua bila ya kudhibiti, watanzania watatupwa nje ya uwanja wa kumiliki uchumi, watabaki kuwa watazamaji tu, kama ilivyo "South Afrika au Israel na Palestrina".
Watabaki watazamaji kama jirani wa BBI ,wazawa wanaishi ktk madongo poromoka
 
Back
Top Bottom