komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Umeamua kumfuata mjinga mwenzio, hehee elimu ya bongo raha kweliWakiambiwa GDP ya karatasi wanatoka povu.
Umeamua kumfuata mjinga mwenzio, hehee elimu ya bongo raha kweliWakiambiwa GDP ya karatasi wanatoka povu.

Rudia tena
Usijisumbue nao, eti gdpDon't forget 39 Kenyan companies operate in Tanzania......story ya gdp si ya kutaja kama bagia.........gdp ya Kenya inawaashia nini?....



Usijisumbue nao, eti gdp
Ilaumu serikali yao kw kuendeleza mfumo wa kijinga wa elimu karne hii
😂😂😂😂😂 GDP yenyewe kwa mjini ndio hii. Na kule kijijini ni kulala njaa tu.Umeamua kumfuata mjinga mwenzio, hehee elimu ya bongo raha kweli
Kazi ya engeneering unataka mtu avae suti kwel umeishiwaHao watu wamedhoofika kiafya na nguo chafu chafu.....kweli ccm hoyee![]()





kwel slums znawatesa wakenya
😂😂😂we jamaa mkorofi sana
Bwahahaaa!!enedelea kujilinganisha na watu wa slums tu...



Akae bongo si atauawa tuTheir opposition leader is on the run....hahaha. Such countries are still living in stone age era.....
Katika vitu wakenya mnapost humu kuna chenu hata kimoja? Kwanzia kwe apartments hadi ghorofa za mchina? Sgr ingefaa mringe nayo akin lol ni ya mchina mapato ni mchina, port hyo ya lamu ni mchina, ndege mmekodi kwa hasara, kile mnamiliki nyie ni kibera tu, hata zile empty estates zenu hammiliki. So kuhusu ownership kila kilichopo na kinachoendelea kenya, wakenya wanamiliki only 5%.Those are Mo Dewjis properties you are bitching about
Katika vitu wakenya mnapost humu kuna chenu hata kimoja? Kwanzia kwe apartments hadi ghorofa za mchina? Sgr ingefaa mringe nayo akin lol ni ya mchina mapato ni mchina, port hyo ya lamu ni mchina, ndege mmekodi kwa hasara, kile mnamiliki nyie ni kibera tu, hata zile empty estates zenu hammiliki. So kuhusu ownership kila kilichopo na kinachoendelea kenya, wakenya wanamiliki only 5%.
Top ten richest people in tz are Indians and omani arabs......the African owns nothingKatika vitu wakenya mnapost humu kuna chenu hata kimoja? Kwanzia kwe apartments hadi ghorofa za mchina? Sgr ingefaa mringe nayo akin lol ni ya mchina mapato ni mchina, port hyo ya lamu ni mchina, ndege mmekodi kwa hasara, kile mnamiliki nyie ni kibera tu, hata zile empty estates zenu hammiliki. So kuhusu ownership kila kilichopo na kinachoendelea kenya, wakenya wanamiliki only 5%.
hawa ndiyo wale ukipishana nao nairobi wapo bize for nothing


Wajitahidi maana nyumba Za maaskari nyingi ziko kwenye hali duni