Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Oh!!
1574769341691.png


Hapa ni maeneo gani dar?

1574769452928.png


1574769524440.png
 
Songwe international Airport, radar installation.



KQ get prepared to pay a navigation fee while flying over Tanzanian airspace to Southern Africa! It will the most beautiful thing considering each KQ flight to SA means bingo to TCAA!
 
Ila kuna watu wajinga kweli kweli 😂😂😂
Mtu anashindwa kutofautisha google Search image na Google Earth 😂😂😂 ndio maana kuna siku walisema kila mtu anaweza kuedit Google Earth nikamwambia thibitisha ulichosema hadi leo hii hajathibitisha😂😂😂
Hajui kuwa hizi picha zinazopostiwa humu ukienda kuzisearch google Search utazikuta.



Tuwasamehe bure wakenya kundule walikuwa hawajaliona 😂
 
Hivi kwa nini Wakenya wanateseka sana juu ya kuendelea kwa Tanzania?!!!.
Ukifikiria sana utaona Tanzania ni unstoppable!!!kuanzia Geographic position, ardhi yenye rutuba, madini,vivutio vya utalii,idadi ya watu tulichokuwa tunahitaji ni uongozi bora tu.Haya maswala ya maghorofa na miundo mbinu ni peanut tu, ukiwa na resources za kutosha na ukazitengenezea mazingira bora unaeza amua hata kujenga mji mpya wa kisasa na ukaumaliza wote.
 
Hivi kwa nini Wakenya wanateseka sana juu ya kuendelea kwa Tanzania?!!!.
Ukifikiria sana utaona Tanzania ni unstoppable!!!kuanzia Geographic position, ardhi yenye rutuba, madini,vivutio vya utalii,idadi ya watu tulichokuwa tunahitaji ni uongozi bora tu.Haya maswala ya maghorofa na miundo mbinu ni peanut tu, ukiwa na resources za kutosha na ukazitengenezea mazingira bora unaeza amua hata kujenga mji mpya wa kisasa na ukaumaliza wote.
Kama tunavyo jenga Dodoma.. hivi leo Kenya walivyo kuwa dhoofu ilhali unafikiri wanaweza ata kuwaza swala hilo, wanabaki kuongea tu vitu vidogo vidogo kama konza city, sijui silicon savannah ukienda ground vitu vipo ndani ya sqm 2000 kama plot yangu tu .
 
Kijana, you can't win in everything. Hata wewe hapo unajua vizuri sana hakuna estate estate Dar nzima ya kulinganisha na Muthaiga ama Karen. Kuna picha ya masaki ulileta hata and I could see so many apartments. Huwezi pata apartments Karen, Runda or Muthaiga
Nyie mna unyani mwingi sana yaani unaona raha kuishi hostel....!!
 
Back
Top Bottom