Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilitaka uone hayo maeneo kiundani ili akili yako iliyozoea kukaa kwenye slums huku ukitumia flying toilet ifunguke.
I saw this video long time ago and all I could see are lots of dream houses and a narrow road constructed between them
 
Tanzania iko namba moja duniani kwenye top 5 nchi zinazo produce sana hii kitu



 
So leo kibera has only 250,000 people? Not 2.5 million anymore? [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Wasee wa dream houses mnachekesha kweli
Kibera ina mabanda 250,000 ambayo yana accommodate dwellers 2.5 million.

Umeolewa sasa? Au Hujaelewa bado?
 

Na chakula mpo namba ngapi? Maana sahii mnakula unga uliosagwa toka mahindi mabovu ya kulisha nguruwe!
 

Hahahah umepanic eeeh relax 🎶
Sidhani hata kama unafahamu hiyo ni nini zaidi ya kukurupuka kuleta maua 😂😂😂
 
Kibera ina watu 2.5million
Makuru kayaba ina watu 700k
Mathare 500k

hzo ni tatu bado ziko zaidi ya 40😆😆😆😆
92A0B7FC-818E-40FB-8F1C-DC3BA8311D5B.jpeg
 
There are a few areas in Nairobi that could be unplanned but 70%-80% of the city is planned and well organised Na hata Watanzania wenzako waliwahi kukubaliana na hili in this same forum. I doubt if Dar's planned area can even reach 20% of the city, despite its bigger size
Mji una slums zaidi ya 15 halafu unaiita ni planned,
Labda planned ya korogocho
 
According to nixcie,this is better place to live
Mtu anawezaje kuishi kwenye haya majengo unfinished!!??yaani ni kama wale mateja wa Jo'burg
 

Attachments

  • IMG_20191111_130321_757.jpg
    IMG_20191111_130321_757.jpg
    42.4 KB · Views: 12
  • IMG_20191111_130259_422.jpg
    IMG_20191111_130259_422.jpg
    23.3 KB · Views: 11
Look at vingunguti,this is right place to live

Lakini hiyo ya unfinished building ni ya mathare
 

Attachments

  • IMG_20191111_131110_014.jpg
    IMG_20191111_131110_014.jpg
    244.2 KB · Views: 12
  • IMG_20191111_130259_422.jpg
    IMG_20191111_130259_422.jpg
    23.3 KB · Views: 12
Back
Top Bottom