Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Economy hurts


trust me guys, these people are very broke! Kenya matajiri wengi ni viongozi coz of corruption! normal citizens wengi sana ni maskini, na mazingira yao ni machafu kichizi

Imagine kwenye jiji la Nairobi .. jiji ni chafu namna hii na kuna nyumba za udongo kama hizi
IMG_1572678163.815578.jpg
IMG_1572678180.090136.jpg
IMG_1572678201.534132.jpg
 
Na ndio maana nikamwambia jamaa yng Nicxie acjipe moyo kwmb Kenya co LDC kwa kuangalia takwimu toka Google aangalie ukweli halisi Google ni makaratasi tuu waliwah kuandika Tz kuna ebola haya iko wp hyo ebola so nnachojaribu kusema hapa ni kwamba Kenya is still a poorest country
trust me guys, these people are very broke! Kenya matajiri wengi ni viongozi coz of corruption! normal citizens wengi sana ni maskini, na mazingira yao ni machafu kichizi

Imagine kwenye jiji la Nairobi .. jiji ni chafu namna hii na kuna nyumba za udongo kama hizi
View attachment 1251689View attachment 1251690View attachment 1251691
 
Your problem is laziness, kwani hujaona hiyo tweet nimepost hapo juu? Ama ulitakaa niongeze na vifaa vya uganga hapo kando yake ndiyo uone?
Nioneshee media gani imesema unga imefika ksh160 kwa tz.prove
 
Your problem is laziness, kwani hujaona hiyo tweet nimepost hapo juu? Ama ulitakaa niongeze na vifaa vya uganga hapo kando yake ndiyo uone?
Nimeifungua na nimeona imeandikwa kg1 ni tsh1800 ndo nataka uprove kuwa kg2 ni ksh160

Na wewe uliandika kuwa kg2 ya unga kwenu ni ksh127 na tz ni ksh160 ndo nataka uhakikishe hayo maneno yako uliyoyasema sio unaropoka bila kuprove
 
Kutosoma kweli ni shida. Let me then educate you as a dunderhead guy.

1kg in Tz is Tag 1800
Meaning 2kg is 1800 * 2= Tsh3600
Ksh1= Tsh23
So Tsh3600= ksh?
3600/22= ksh163

Have you seen how ksh160 is coming about you idiot?
Nimeifungua na nimeona imeandikwa kg1 ni tsh1800 ndo nataka uprove kuwa kg2 ni ksh160

Na wewe uliandika kuwa kg2 ya unga kwenu ni ksh127 na tz ni ksh160 ndo nataka uhakikishe hayo maneno yako uliyoyasema sio unaropoka bila kuprove
 
Back
Top Bottom