Haile Selassie road OysterbayWapi hapa
Who is next Ichoboy? Which bus are you bringing next? View attachment 1243164



..Modern Coach ya UGANDA![]()
Itawachukua miaka 100 kufika Tanzania ilipofika kwenye sector nzima ya usafiri wa nchi kavu, kwanza hata stands hamna, ni sawa na kuwa na ndege halafu huna Airport, Tanzania luxury buses zipo kila mkoa, Kenya kuna mikoa hata lami hawajawahi kuonaKwa mambo ya buses Kenya is far much ahead of TZ.
1. MODERN COAST.View attachment 1243009View attachment 1243010
LOL naona umewatandika na companies zaidi ya 200 wao wanakomaa na coastal na Drem line tu 😂😂😂😂
LOL naona umewatandika na companies zaidi ya 200 wao wanakomaa na coastal na Drem line tu 😂😂😂😂
Sisi masikini nchi LDC tutoe wapi? Sisi tuko tu na Thika road pekee yake. Picha zingine za Thika road ndio hizi hapa 😂Hivi ukiondoa kile kicbd chao na thika road kuna majengo mengine yyt au barabara nzuri ya zile?
Hebu taja hizo mikao kwa majina?Itawachukua miaka 100 kufika Tanzania ilipofika kwenye sector nzima ya usafiri wa nchi kavu, kwanza hata stands hamna, ni sawa na kuwa na ndege halafu huna Airport, Tanzania luxury buses zipo kila mkoa, Kenya kuna mikoa hata lami hawajawahi kuona
Hao ni wazee wa BROKEN ENGLISHHalafu kwa kiingereza changu cha kuongea hua nasema an ldc sijui kwa kiingereza cha kumeza madesa inakuaje
Marcopolo za sekondary Fulani huko magharibi mwa ziwa
Duh we jamaa mbona unachapia sana!!Hebu taja hizo mikao kwa majina?