Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Simba coach
FB_IMG_15719281646738140.jpeg
FB_IMG_15719281750023761.jpeg
FB_IMG_15719282345220165.jpeg
FB_IMG_15719282029658232.jpeg
 
Kwa mambo ya buses Kenya is far much ahead of TZ.
1. MODERN COAST.View attachment 1243009View attachment 1243010
Itawachukua miaka 100 kufika Tanzania ilipofika kwenye sector nzima ya usafiri wa nchi kavu, kwanza hata stands hamna, ni sawa na kuwa na ndege halafu huna Airport, Tanzania luxury buses zipo kila mkoa, Kenya kuna mikoa hata lami hawajawahi kuona
 
Hivi ukiondoa kile kicbd chao na thika road kuna majengo mengine yyt au barabara nzuri ya zile?
Sisi masikini nchi LDC tutoe wapi? Sisi tuko tu na Thika road pekee yake. Picha zingine za Thika road ndio hizi hapa 😂
DFwqJQyXsAAVKoI.jpg
KangundoRaodJUnctiontowardskariobangi2.jpg
DfEosHWsAA7EER.jpg
thumbconstructionofsh885ad42d4a7d2ae.jpg
images(66).jpg
images(65).jpg
l71TxSy.jpg
Walkway1.jpg
images(68).jpg
thimgWhatsAppImage20170509at15.54.301autox600.jpg
images(69).jpg
KEOuterring220180604115350.jpg
 
Itawachukua miaka 100 kufika Tanzania ilipofika kwenye sector nzima ya usafiri wa nchi kavu, kwanza hata stands hamna, ni sawa na kuwa na ndege halafu huna Airport, Tanzania luxury buses zipo kila mkoa, Kenya kuna mikoa hata lami hawajawahi kuona
Hebu taja hizo mikao kwa majina?
 
Back
Top Bottom