Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Buildings zao mob ziko na era sana kutoka number za floors hadi meters, hii picha inakunyesha vile buildings zao ni fupi....ebu imagine Tpa ndio ndefu hapa na iko na 157m tu hehee
Another one is millennium, nataka wanishow those 30 floors in this building. View attachment 1241704
tapatalk_1566899774453.jpeg
 
Hiyo ceiling umeionaje wakati kuna vioo ni translucent?
Yeah, Vioo ni translucent na sio opaque, that means I can count the number of floors. Do you also know that ceiling of one room below is the floor of the upper room ?
 
Yeah, Vioo ni translucent na sio opaque, that means I can count the number of floors..
Ungeweza kuona ndani kama vioo ni transparent lakini siyo translucent material hairuhusu mwanga kutoka bali kuingia.
Do you also know that ceiling of one room below is the floor of the upper room ?
Kioo kimoja kinaweza kuchukua floor mbili
 
Ungeweza kuona ndani kama vioo ni transparent lakini siyo translucent material hairuhusu mwanga kutoka bali kuingia.

Kioo kimoja kinaweza kuchukua floor mbili
if you were an engineer, you would be the worst engineer in the whole world. So you want us to believe that each window pane of TPA is equivalent to two floors!!! That means that TPA is actually a 70-storey building. What a stupid reasoning!
 
if you were an engineer, you would be the worst engineer in the whole world. So you want us to believe that each window pane of TPA is equivalent to two floors!!! That means that TPA is actually a 70-storey building. What a stupid reasoning!
Nimesema "kama", kwani neno "kama" unalielewaje? Huoni kuwa wewe ndiyo mwenye matatizo ya kuelewa?
 
There is a difference between transparent and translucent glasses. In translucent I'll see but not clearly and that's why I'm saying that the translucent-ness of those glasses enables me to see the gap between the ceiling and the floor.
Ungeweza kuona ndani kama vioo ni transparent lakini siyo translucent material hairuhusu mwanga kutoka bali kuingia.

Kioo kimoja kinaweza kuchukua floor mbili
 
There is a difference between transparent and translucent glasses. In translucent I'll see but not clearly and that's why I'm saying that the translucent-ness of those glasses enables me to see the gap between the ceiling and the floor.
Kwani wewe una macho ya tai kuweza kuona ndani?
 
wachina wenyewe waliojenga wanaita MNF1 na MNF2
.. usibishane hapa na mtu aliewah panda hili jengo
Boss wacha upumba hiyo ni jengo moja with two wings.....ivi mbona mnapenda kuforce vitu ivi?
 
Nimesema "kama", kwani neno "kama" unalielewaje? Huoni kuwa wewe ndiyo mwenye matatizo ya kuelewa?
Your argument that one window pane can cover two floors is what I was referring to. Can you explain to me how this is possible like a two year old
 
Back
Top Bottom