TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
Mngekuwa hamna time na Tanzania mngekuwa hampo humu,
😂😂😂
Iam only playing your game
Iam dealing with fools
Mngekuwa hamna time na Tanzania mngekuwa hampo humu,
😂😂😂
Kuna tofauti kubwa kati ya insult na kuwaambia ukweli,Iam being a patriotic kenyan
If you stop insulting Kenya
You will never see me here
Hata mimi nadeal with fool like you.Iam only playing your game
Iam dealing with fools
Matatizo yakutoelewa kiswahili ndo haya...umeanza kuonyesha ukosefu wakinga kichwani...


Mngekuwa hamna time na Tanzania mngekuwa hampo humu,
![]()





Wapigaji wameanza kurudisha vitita vya pesa serikalini baada ya mzee magu kuwapa chance ya kurudisha ili wasiozee jela, Huyo mwamba karudisha billion 27 taslim tena cash. Zililipwa billions of pesa week ilopita na wengne walopga trillions wanajipanga kurudisha anytime from now kabla ya deadlineView attachment 1235879
Ss mkuu bilioni 27 ndo yakuikimbizia WB mbn una masikhara wwDuh!!kwn hko maguu ndio katiba?
Hii movie mbna tamu, endelea kujitengezea mazingira jomba...wezi gani hao wanaiba pesa halafu wanazificha nchini
Awamu hii, tutaona mengi
Duh!!kwn hko maguu ndio katiba?
Hii movie mbna tamu, endelea kujitengezea mazingira jomba...wezi gani hao wanaiba pesa halafu wanazificha nchini
Awamu hii, tutaona mengi
Then don't say eti tulijileta hukuDo you know that there is a Ugandan section....??😂😂😂😂 Wewe kweli kiazi...Alicho fanya nikuangalia East Africa zaidi...
Unataka iwe 50kms from cbd? Sawa basi, wazungu walitujengea Upper hill 50kms from cbd. 😂 😂Upper Hill yenyewe ni 1mile kutoka CBD lakini mnapafanya kama ni mji mwingine kabisa ulio mbali.
Sasa hapo umesema nini?Buda inabidi utofautishe uchumi kumilikiwa na mwananchi wa origin ingine vs mwananchi wa nchi ingine
Ni sehemu hiyo hiyo ya CBD iliyoachwa na wazungu leo mnaipa majina tofauti ili muipe status ya jiji linalopanuka wakati ni sehemu hiyo hiyo. Yaani mnafanya kama demu anayevaa "high hills" ili aonekane mrefu kumbe ni kibushuti.Unataka iwe 50kms from cbd? Sawa basi, wazungu walitujengea Upper hill 50kms from cbd. 😂 😂
Happy now?

hao si wezi walai
Ss mkuu bilioni 27 ndo yakuikimbizia WB mbn una masikhara ww
Hawa wapgaji walianza kupga kabla ya anko magu kuja madarakani. Anko ndo katilia mkazo akin aliwapa chance wachague either waozee jela ama walipe, so wameamua kulipa
Midanganyika ni mijinga sana. Haya basi, vipi kuhusu hizi?
View attachment 1236038View attachment 1236040View attachment 1236042
Ukweli gani? Kwamba hamko LDC?Kuna tofauti kubwa kati ya insult na kuwaambia ukweli,
Kazi yenu ni insult huku tukiwaambia ukweli.
I wanted to say the same thing when replying to that shit. How did you read my mind? 😂 😂Hzo ni za 90s mkuu
Stage managing things to win the hearts of Tanzanian morons for votes. We know how these games are played 😂 😂Duh!!kwn hko maguu ndio katiba?
Hii movie mbna tamu, endelea kujitengezea mazingira jomba...wezi gani hao wanaiba pesa halafu wanazificha nchini
Awamu hii, tutaona mengi
Unamaanisha nini unaposema "iliachwa na wazungu" Naomba ufafanue zaidiNi sehemu hiyo hiyo ya CBD iliyoachwa na wazungu leo mnaipa majina tofauti ili muipe status ya jiji linalopanuka wakati ni sehemu hiyo hiyo. Yaani mnafanya kama demu anayevaa "high hills" ili aonekane mrefu kumbe ni kibushuti.