Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukweli lazima usemwe.
Kuna wajinga wakenya wenzako eti mtu anashupalia kwa nguvu zote na kujitapa "rent nayolipa ni kubwa kukuzidi mshahara ".
Asa si ukumbafu huu??!!
Wewe unaweza kujitapa ama kuleta majigambo ya kipuuzi kama haya??!!
Endelea kupiga kelele tu...contract ikiisha una renew ardhi tena
 
Heheeee!!huyo jamaa yaonyesha kakukwaza sana...
Mitandao hii bana
Ukweli lazima usemwe.
Kuna wajinga wakenya wenzako eti mtu anashupalia kwa nguvu zote na kujitapa "rent nayolipa ni kubwa kukuzidi mshahara ".
Asa si ukumbafu huu??!!
Wewe unaweza kujitapa ama kuleta majigambo ya kipuuzi kama haya??!!
 
Apart from slums and tribalism, Kenyans own nothing, land belongs to wazungu and Kenyatta family
Says someone who leases land from the same government he praises day and night. Vilaza bado wako wengi

Asante kwa kukubali kwamba serikali yenu inamiliki ardhi yote Tanzania na kwamba nyinyi mnakodishiwa tu hiyo ardhi. That's the only thing I wanted to hear. Hizo zingine zote umesema ni kelele tu
 

Chanzo cha mada ilikuwa kwamba wakenya wengi HAWANA haki ya kumiliki ardhi. Hizo percentages za umiliki tena yametoka wapi?? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ I like how you lick your own shit.
 
Yote hayo miaka 33 mpka 99 ikifika.unatakiwa uka renew hyo ardhi...

Unajua maana ya ku lease wewe
[/QUOTE]
[/QUOTE]

we komora sikia.... una enda ku renew ardhi but no body will ever take it from you, unless serekali ina kitaka ambapo watakulipa fidia, nikiwa na maana wana kinunua kutoka kwa mwenye kiwanja. na pia ni mfumo wa kuhakiki kama bado mwenye kiwanja yupo kwasababu kuna mwengine anaweza akawa ame fariki na hakuweza kukabithi kwa ndugu yake yoyote au mtu yeyote wakaribu.... Sasa nime kuelezea hvyo neng’eneka tena uje na point zako za ajabu.. tuta kujumuisha na wenzako wakiongozwa na baba yao....NICXIE πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. lakini Nicxie mme mtoa wapi lkn.. yani ni muoongo.. ivi ni mkenya kweli?. kwasababu mnaweza kumkata. Sio kwa uwongo alio kua nao πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hku kwetu hayo hufanyiwa raia wa nje...yani una renew ardhi km squater vile...

Yani mimi hapa nikinunua ardhi popote pale kenya...naimiliki milele...[/QUOTE]

we komora sikia.... una enda ku renew ardhi but no body will ever take it from you, unless serekali ina kitaka ambapo watakulipa fidia, nikiwa na maana wana kinunua kutoka kwa mwenye kiwanja. na pia ni mfumo wa kuhakiki kama bado mwenye kiwanja yupo kwasababu kuna mwengine anaweza akawa ame fariki na hakuweza kukabithi kwa ndugu yake yoyote au mtu yeyote wakaribu.... Sasa nime kuelezea hvyo neng’eneka tena uje na point zako za ajabu.. tuta kujumuisha na wenzako wakiongozwa na baba yao....NICXIE
.. lakini Nicxie mme mtoa wapi lkn.. yani ni muoongo.. ivi ni mkenya kweli?. kwasababu mnaweza kumkata. Sio kwa uwongo alio kua nao
[/QUOTE]
 

Unajua maana ya kukodisha au kiswahili kigumu.. aya basi kwa kingereza ni ku rentπŸ˜‚πŸ˜‚ Inamaana unachukua kitu kwa mtu badae uta kirudisha... sis hatu rent viwanja tuna vinunua, ina maana hatu virudishi, but Serikali ina haki ya kuvichukua wakivitka.. na it’s obvious wakitaka kuvichukua ina maana wanataka kutumia hiyo sehemu kwajili kitu cha uma..na pia waki vichukuaga wanalipiaga fidia, in other words, wanakinunua kutoka kwa mmiliki.. wee Nicxie wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ you soo dumb broo. You got to something men, I think it’s getting worse day by day πŸ˜‚πŸ˜‚.. ni ushauri tu lakini
 
Hku kwetu hayo hufanyiwa raia wa nje...yani una renew ardhi km squater vile...

Yani mimi hapa nikinunua ardhi popote pale kenya...naimiliki milele...

we komora sikia.... una enda ku renew ardhi but no body will ever take it from you, unless serekali ina kitaka ambapo watakulipa fidia, nikiwa na maana wana kinunua kutoka kwa mwenye kiwanja. na pia ni mfumo wa kuhakiki kama bado mwenye kiwanja yupo kwasababu kuna mwengine anaweza akawa ame fariki na hakuweza kukabithi kwa ndugu yake yoyote au mtu yeyote wakaribu.... Sasa nime kuelezea hvyo neng’eneka tena uje na point zako za ajabu.. tuta kujumuisha na wenzako wakiongozwa na baba yao....NICXIE
.. lakini Nicxie mme mtoa wapi lkn.. yani ni muoongo.. ivi ni mkenya kweli?. kwasababu mnaweza kumkata. Sio kwa uwongo alio kua nao
[/QUOTE]
[/QUOTE]

Kwani we unakiwanja mpaka ufanyiwee hvyo vitu?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi ninakinzana na ww kuwa unasema sisi Tz tunakodishiwa ardhi.
Hayo mambo ya kenya land ownership mm sikutamka.
ILA NILIKUA NAKUPINGA ULIVYOSEMA KUWA SISI TUNAKODISHIWA ARDHI HATUMILIKI.
Kumbe ww msahaulifu hivi???
Chanzo cha mada ilikuwa kwamba wakenya wengi HAWANA haki ya kumiliki ardhi. Hizo percentages za umiliki tena yametoka wapi??
I like how you lick your own shit.
 
Hawawezi lielewa hilo. [/QUOTE]

Kwani we unakiwanja mpaka ufanyiwee hvyo vitu?
[/QUOTE]
 
We jamaa ni mkumbafu hivi??
Kuna umilikaji wa aina mbili umeusoma vema ??
Punguza upumbavu.
Kuna umilikaji ardhi wa kimila yani km mm mali yangu mwanangu aja kurithi.
Na kuna umilikaji ardhi wa hati.
Nikakutajia kuhusu NHC mathalan utamiliki ardhi yao kwa namna ya pili hapo juu.
Wewe mbona mgumu kuelewa??
Yote hayo miaka 33 mpka 99 ikifika.unatakiwa uka renew hyo ardhi...

Unajua maana ya ku lease wewe
[/QUOTE][/QUOTE]
 
Shamba la babako sio lako..anakukabidhi lkn akiwa na mradi wowote ule huna budi kunrudishia afanye yake
Kaama mali za babako sio zako kwann wazirithi akifariki?
Na kwan babayo anatafuta mali kwaajili ya nani kama sio wewe??
Ninyi ebu punguzeni kunywa gongo mchana jua Kali zitawaua.
 
Eti kukodisha kwa kiingereza ni renting? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Are you redefining English? Then what is leasing kwa kiswahili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…