komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,549
- 5,646
Endelea kupiga kelele tu...contract ikiisha una renew ardhi tenaUkweli lazima usemwe.
Kuna wajinga wakenya wenzako eti mtu anashupalia kwa nguvu zote na kujitapa "rent nayolipa ni kubwa kukuzidi mshahara ".
Asa si ukumbafu huu??!!
Wewe unaweza kujitapa ama kuleta majigambo ya kipuuzi kama haya??!!