Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo mahoteli nimeshinda nikiziona mkuu!! Wajua Nairobi tukasema kupiga picha hoteli mtachoka, ndio maana huwa tunaweka za eneo kubwa, kuchukua street nzima ama aerial photos!

Hamna lolote hapo Dar mkuu, mnaruhusa ya kuchanganya kila pembe TZ nzima mlete league na Nairobi
we mshamba kweli
 
Go kikwete........dunia inakuhitaji sana

Kikwete kuhudumu katika baraza la wakimbizi duniani - BBC Swahili


Screenshot_2017-05-17-12-01-44.png
 
I hope umetosheka sasa, nilikushow ni wengi. View attachment 510506 View attachment 510507
inaonekana huyo Edith kimani ndio icon wenyu kwa sasa.

bado hajamfikia salim kikeke kwa umaarufu.she has to pull up her socks.

let's compere their number of followers in twitter,Instagram and Facebook.

salim kikeke in Facebook.
b2a382395e4bd37358eb2bc81b719dd9.jpg


salim kikeke in Instagram.
313acdd5b81c07a75fa8c59d50e3c1fa.jpg


salim kikeke in Twitter.
4ebdc00dd982c9791430781511c1a1b2.jpg


edith kimani in Instagram.
addab6146b9c80d135ae1eb6cdcb0b9f.jpg


Edith kimani in Facebook.
d535949a3b11a5609341b7a0aa5394bf.jpg


Edith kimani in Twitter.
349201b5bdd807682e25d36183f462fd.jpg
.

so the winner is....a Tanzanian BBC Swahili news anchor Salim Kikeke.
 
Ikikam kwa jonalism wachia wazito msee
58b5ab7cd39b393a577e7c39cc472be6.jpg
9036ba6ab4ef9d3f353d1e46fa0ef71a.jpg
e24d097cc541a9442996fd3a16a11b69.jpg
Umekurupuka kijana wa kijaruo.hii ndio shida ya kutafuna miraa bila kula.

hatuzungumzii local journalist who work in kenya media houses.

tunazungumzia Kenyan journalist who work in international scene the like of BBC,CNN and aljazeera.

ojey embu elimisha hii jaruo.SMH.
 
Umekurupuka kijana wa kijaruo.hii ndio shida ya kutafuna miraa bila kula.

hatuzungumzii local journalist who work in kenya media houses.

tunazungumzia Kenyan journalist who work in international scene the like of BBC,CNN and aljazeera.

ojey embu elimisha hii jaruo.
Sasa unaanza kujivunia stations zingine before za kwenu....sasa kama Larry madowo ako na followers wengi kumshinda na ako kenya? Iyo ni aibu gani
 
Sasa unaanza kujivunia stations zingine before za kwenu....sasa kama Larry madowo ako na followers wengi kumshinda na ako kenya? Iyo ni aibu gani
ulinielewa kweli?....au kiswahili ninachoka andika ni kigumu kwako kuelewa?.

nani aliyesema kuwa kenya inaongoza kuwa na journalist katika international media?.

halafu kwa wakazi wa east Africa,wanaongoza kwa idadi ya followers kwenye socia media ni watz.
nao ni diamond platnumz na ally kiba.huyo miduwo ni mjinga tu flani.
 
ulinielewa kweli?....au kiswahili ninachoka andika ni kigumu kwako kuelewa?.

nani aliyesema kuwa kenya inaongoza kuwa na journalist katika international media?.
Sasa kama majournalist wakenya wanamshinda followers twitter kuna haja gani tuendelee msee..msee 176k Larry 909k aibu kubwa...usiringe tena
 
ulinielewa kweli?....au kiswahili ninachoka andika ni kigumu kwako kuelewa?.

nani aliyesema kuwa kenya inaongoza kuwa na journalist katika international media?.

halafu kwa wakazi wa east Africa,wanaongoza kwa idadi ya followers kwenye socia media ni watz.
nao ni diamond platnumz na ally kiba.huyo miduwo ni mjinga tu flani.
Huyu uyacompare na mgani Tz...maze b4 uanze mada research kwanza
1f2b83722263820ca65afa5becc7b794.jpg
 
ulinielewa kweli?....au kiswahili ninachoka andika ni kigumu kwako kuelewa?.

nani aliyesema kuwa kenya inaongoza kuwa na journalist katika international media?.

halafu kwa wakazi wa east Africa,wanaongoza kwa idadi ya followers kwenye socia media ni watz.
nao ni diamond platnumz na ally kiba.huyo miduwo ni mjinga tu flani.
Wanaongoza kwa Instagram pekee...kuja Twitter ujionee ata uhuru Kenyatta na magufuli uwacompare Twitter...Instagram niya watoto wako adole
 
Back
Top Bottom