Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ingekuwa hivyo ungekuta Tzn inaongoza kwa kila kitu kuanzia economy hadi quality of life unfortunately kila figure inawaweka same level na Burundi Somalia DRC and the likes as poor ldc
What you are doing now is just kukimbiza mwizi
Wewe ukiambiwa uchague kati ya Kuishi Somalia au Namibia utachagua wapi? Hii inajibu mantiki ya
wewe Mkenya kuchagua Kuishi Tz over Kenya, who will chose to live in a poor country with poor Health services, poor water supply, Poor Transport infrastructure, Hunger, Insecurity etc??
Yaani kiuhalisia Tanzania imeendelea far zaidi ya Kenya,
Hizo figures hazina maana yoyote, tena kwa jinsi informal sector tz ilivyo pana na kubwa ingehesabiwa kwenye GDP tungekuwa na $150bn,
Nikusaidie kitu, Kama Wakenya ndio wangekuwa Tanzania kwa wanavyopenda sifa wangejilipua na GDP ya $200bn,
Angalia hiyo link hapo chini

Kwani unadhani kwa nini wakenya wengi mnapenda kuja kuishi Tanzania Kuliko kubaki huko Kenya?
Why not Somalia, Burundi, DRC ama Uganda kama ulivyomention hapo?
Jaribu kushirikisha ubongo ukiwa unajadili mambo ya msingi.
 
Tanzania inamwaga pesa nyingi hivi mahali ambapo uzalishaji na kulipa kodi ni chini sana?
$money not well $pent.
Huna akili ww unajua hilo daraja litaonganisha mikoa mingapi hapo na unajua shuguli za kiuchumi zilizopo hapo???
Kuna mining indsutries hapo
Fishing industries
Agriculture industries
Tourism industries etc

Unafkiri sisi ni kama nyinyi munapeleka maendeleo kwa wanasiasa munasahau masikini walio wengi
 
Wewe ukiambiwa uchague kati ya Kuishi Somalia au Namibia utachagua wapi? Hii inajibu mantiki ya
wewe Mkenya kuchagua Kuishi Tz over Kenya, who will chose to live in a poor country with poor Health services, poor water supply, Poor Transport infrastructure, Hunger, Insecurity etc??
Yaani kiuhalisia Tanzania imeendelea far zaidi ya Kenya,
Hizo figures hazina maana yoyote, tena kwa jinsi informal sector tz ilivyo pana na kubwa ingehesabiwa kwenye GDP tungekuwa na $150bn,
Nikusaidie kitu, Kama Wakenya ndio wangekuwa Tanzania kwa wanavyopenda sifa wangejilipua na GDP ya $200bn,
Angalia hiyo link hapo chini

Kwani unadhani kwa nini wakenya wengi mnapenda kuja kuishi Tanzania Kuliko kubaki huko Kenya?
Why not Somalia, Burundi, DRC ama Uganda kama ulivyomention hapo?
Jaribu kushirikisha ubongo ukiwa unajadili mambo ya msingi.

voodoo economics laced with emotions.You just described tanzania in the reverse order.Our HDI is better than you.......ama mtasema tulibribe world bank
 
Tanzanians na facts ni maadui sana...
 

Attachments

  • hdi.png
    hdi.png
    11.2 KB · Views: 33
Unaongelea hizi 13 counties au

Mkuu huyo jamaa choice variable namtambua yani ni mbishi halafu mjuaji mingi.
Yan Tz aifananishie na Burundi ilhali quality of living tz in reality imeipiku had Kenya.
1)Kenya kuna watu wengi wanajiua kwa ugumu wa maisha na mapenzi.
2)kenya ina wakaz wengi waishio mahal yasiyo ridhishi yan ni dumple generally mathalan kibera.
3)Kenya ndio only nation EA nilioisikia watu takriban 40 wanachangia choo na wengine kunya ktk ndoo kupelekea kuwa na fying toilets.
4)Kenya ndio taifa pekee linalosifika kuwa na uchumi mkubwa lakini wananchi wake wanakufa na njaa kali na wengine wakiishi maisha magumu.
5)Kenya ndio nchi pekee inayosifika kuwa na uchumi mkubwa lakin hadi kuonana au kutembeleana majumbani kwa appointment km ofisini .

MAISHA GANI KENYA INAYO AMBAYO NI NZURI??!!! HAKUNAAA
 
Mkuu huyo jamaa choice variable namtambua yani ni mbishi halafu mjuaji mingi.
Yan Tz aifananishie na Burundi ilhali quality of living tz in reality imeipiku had Kenya.
1)Kenya kuna watu wengi wanajiua kwa ugumu wa maisha na mapenzi.
2)kenya ina wakaz wengi waishio mahal yasiyo ridhishi yan ni dumple generally mathalan kibera.
3)Kenya ndio only nation EA nilioisikia watu takriban 40 wanachangia choo na wengine kunya ktk ndoo kupelekea kuwa na fying toilets.
4)Kenya ndio taifa pekee linalosifika kuwa na uchumi mkubwa lakini wananchi wake wanakufa na njaa kali na wengine wakiishi maisha magumu.
5)Kenya ndio nchi pekee inayosifika kuwa na uchumi mkubwa lakin hadi kuonana au kutembeleana majumbani kwa appointment km ofisini .

MAISHA GANI KENYA INAYO AMBAYO NI NZURI??!!! HAKUNAAA



the only thing is that you are just ranting out of emotions
 
voodoo economics laced with emotions.You just described tanzania in the reverse order.Our HDI is better than you.......ama mtasema tulibribe world bank
Msipende kuongea kwa kukariri man.
Tuongeeni reality Kenya mna life baya.
 
arusha your third city....lol.better life indeed ......
 

Attachments

  • arush.jpg
    arush.jpg
    82.3 KB · Views: 27
Hao watu wanakula na kunywa vzuri na kulala pazuri hawahangaiki na uhanga wa njaa km watu wa Wajir Kenya.

hahaha.....you think we have never visited tanzania to see the absolute squalors you guys live in.....next time i will shoot videos
 
Kabisa mkuu hawa jamaa kuna sehemu walikosea sana.
Mkuu huyo jamaa choice variable namtambua yani ni mbishi halafu mjuaji mingi.
Yan Tz aifananishie na Burundi ilhali quality of living tz in reality imeipiku had Kenya.
1)Kenya kuna watu wengi wanajiua kwa ugumu wa maisha na mapenzi.
2)kenya ina wakaz wengi waishio mahal yasiyo ridhishi yan ni dumple generally mathalan kibera.
3)Kenya ndio only nation EA nilioisikia watu takriban 40 wanachangia choo na wengine kunya ktk ndoo kupelekea kuwa na fying toilets.
4)Kenya ndio taifa pekee linalosifika kuwa na uchumi mkubwa lakini wananchi wake wanakufa na njaa kali na wengine wakiishi maisha magumu.
5)Kenya ndio nchi pekee inayosifika kuwa na uchumi mkubwa lakin hadi kuonana au kutembeleana majumbani kwa appointment km ofisini .

MAISHA GANI KENYA INAYO AMBAYO NI NZURI??!!! HAKUNAAA
 
Back
Top Bottom