Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,229
- 18,023
Huwezi kuona makosa yake kwa sababu nyinyi wote ni bongolala wawili.Sasa kakosea wapi??..kumbe we mwenyewe umekariri lugha ya malkia.. jibu hoja jamaa yuko sahihi 100%
Huwezi kuona makosa yake kwa sababu nyinyi wote ni bongolala wawili.Sasa kakosea wapi??..kumbe we mwenyewe umekariri lugha ya malkia.. jibu hoja jamaa yuko sahihi 100%
Ulianza kwa gia ya utanzania, naona kamba zimekukaza umefunguka Leo kuwa wewe ni I mkenya.Hiyo ndo Dar haswaa na ndio kioo cha nchi ni aibu bora hata upcountry regions.Hao akina ichoboy huwa sibishani nao maana hawana cha kunidanganya nimeishi Dar miaka 4 na niko Tzn hata saizi ni aibu sana uchafu sasa ndo usiseme.Nilitegemea Kigamboni ingepangwa kuficha aibu ya Dar lakini wapi,mwendo ni huo huo wa dream hovyo hivyo
Kinondoni District ambayo ndio wanaishi middle class ni hivyo hivyo slums kwenda mbele.Hadi leo hii sijawahi fahamu sababu kwa nini hawazingatii mipango miji yaani sio watu wa kuishi kwa mpangilio
No wonder presidaa wao anaweza kuamka kesho akasema pesa fulani ifanye kitu fulani prior planning
Wapi nilipofunguka kuwa mimi mkenya,kuwa na maoni kinzani na yako hayaniondolei hadhi ya utaifa wanguUlianza kwa gia ya utanzania, naona kamba zimekukaza umefunguka Leo kuwa wewe ni I mkenya.
Huyo mbona nilimchana from day one yeye mwenyewe anajua😆😆😆😆Ulianza kwa gia ya utanzania, naona kamba zimekukaza umefunguka Leo kuwa wewe ni I mkenya.
Variable Choice huna lolote,Wapi nilipofunguka kuwa mimi mkenya,kuwa na maoni kinzani na yako hayaniondolei hadhi ya utaifa wangu
Ichoboy
Unaleta porojo tu hapa..Huwezi kuona makosa yake kwa sababu nyinyi wote ni bongolala wawili.
Hehehe na tumeanza kupeleka makontena uganda sasa ni mwaka mzima wenyewe hawana habari😆😆😆Ichoboy
Nicheke kwanza hahahahahaha
Nimetua zangu jana hapa Mwanza na hivi tunavoongea nimeshuhudia makontena kama hamsini yako Uganda yakiwa hapo stesheni
Hawa tushawashika Pumb..zao, yaani hawachomoki.
Itazame mpaka mwisho
Mbona ina mwaka tu wa mwishoTayari 👏👏👏👏👇👇👇
View attachment 1171862
Lazma kila mwaka waje kufanya auditMbona ina mwaka tu wa mwisho
Au kila mwaka unatuma Maombi
longest traffic jam in Africa
longest traffic jam in Africa