Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,897
- 107,359
achana na huyu Chooboy. Ninja anaargue kama dame ananyesha alafu debating skills ako nje kama meno ya mkaleUnamaanisha hizi nyumbani au?
View attachment 1169614
😂 😂 😂
Kama hizi ndio nyumba vijana wa Dar wanamiliki then wacha tu nicheke. Na uko tu serious and very proud ukisema hivyo!
2.5m only kibera what about other slums au wanaishi nguruwe[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Buda hamna huo uwezo, jifariji na mapichapicha ya render. Mtaendelea kushuhudia za gerezani, morocco, kinondoni, selander, mwenge na kwingineko![]()
Nairobi JKIA To JG RD Expressway Project - Final | PDF | Toll Road | Taxes
27 kilometre ‘Nairobi Expressway’ linking Mlolongo and Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) to the Nairobi-Nakuru highwayredirect.viglink.com
We jamaa baada ya kuona tumefungua terminal 3 imekuuma sana umeamua ku spam uzi wetu.Watakuambia ni dream houses. Nyinyi mnafaa tu kichapo cha mbwa ili nitoke kwenye hizi ndoto za mchana. How do you fail to plan your capital city this much? Yani nyumba zimerundikana tu bila mpangalio wowote kisha mnakuja hapa kuleta picha za kibera when your whole city is a mega slum! You think that a city is just about showing some three blue towers alone? No wonder you never show us your residential estates and concentrate just on the cbd. Hii ni aibu 👇 👇 👇 😳 😳 😳 ☹ ☹ ☹
Imekupea ndo nn? 😅Wululu....unaumia mpka unajichanganya...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....
Usijali..najua ni eastlando ndio imekupea presha kiasi hicho...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
achana na huyu Chooboy. Ninja anaargue kama dame ananyesha alafu debating skills ako nje kama meno ya mkale
Bila shaka mume panic😆😆😆😆😆Wululu....unaumia mpka unajichanganya...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....
Usijali..najua ni eastlando ndio imekupea presha kiasi hicho...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Imegeuka kua white elephant bado lamu port sasa😆😆😆😆 ethiopia kashajitoa mudahttps://www.bloomberg.com › news
China's Belt and Road Leaves Kenya With a Railroad (SGR) to Nowhere - Bloomberg
18 Jul 2019 · Beijing is withholding the $4.9 billion needed to finish the ... China's Built a Railroad to Nowhere in Kenya
Buda hamna huo uwezo, jifariji na mapichapicha ya render. Mtaendelea kushuhudia za gerezani, morocco, kinondoni, selander, mwenge na kwingineko
We jamaa baada ya kuona tumefungua termila 3 imekuuma sana umeamua ku spam uzi wetu.
The best in east africa..
Sio east africa kaka huu mwiba ni tushio africaThe best in east africa..