Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uwongo mwingi kaka... Hahaha economy yenu 61b Kenya 100b
2018 wameingia 1.5milliion na tumetengeza 2.4b usd sasa mwaka huu wanafika 2million na tutaingiza 3b usd [emoji116][emoji116]





Kenya walipata pesa kwenye utalii less than 1b 2018[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] niliskia masai mara kuna hoteli mpaka 20usd per night
 
Dar slum yote
tapatalk_1564294296607.jpeg
 
Economy ya nai ni 60b usd Sawa na dar slum. Magari ziko nairobi ni mingi kushinda Tanzania yote
Leta official source kua economy ya nai ni mara 10 ya dar ukipata nitag[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Angalia huo udongo mwekundu never kua dar hata siku moja [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] endelea kuokota picha za google alaf ulivo mjinga zaidi unapost picha ya kibera unasema dar[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1165198
Usipoteze muda wako, huo uvundo wanajua kabisa kwamba unapatikana Kenya na DRC pekee katika eneo hili
 
Back
Top Bottom