tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
KumetuliaMWENGE TZ
View attachment 1164145
KumetuliaMWENGE TZ
View attachment 1164145
Hahaha Hii picha hawaipendi kweli




si unaumia sana
Wakati kenya wakiandikwa BBC,CNN,ALJAZEERA Kwa kuzindua mradi wa kufua umeme wa upepo utakaozalisha 300MW
Tanzania imezindua Rufiji hydroelectric dam itakayozalisha ×7 ya wa kenya na hakuna any international media imeandika...
Thumb up wazee Hawa nyumbu hawana Pumzi
Na cheka sana 😅😅😅😅si unaumia sana
The forth wapi wakat mpaka upper hill na CBD zinaonekana😆😆😆😆😆
Punguzq hasira😆😆😆👇👇👇Nionyeshe upper hill?. Picha ya 1970 unatuwekea
Dar yote in one photo.Umepost picha ya kilimani inside the pic CBD na upper hill ziko ndaniyani hapo tu ndio hua munanifurahisha sana
Nioneshe upanga nioneshe kijitonyama nioneshe ilala nioneshe masaki nioneshe mikocheni nioneshe ubungo nioneshe mbezi etc hebu nioneshe zikwapi hapo😆😆😆😆Dar yote in one photo.View attachment 1164409
Hapo service provider hawezi thubutu kumkata kifurushi chake!



Hatari sana. Itakua unlimited!Nioneshe upanga nioneshe kijitonyama nioneshe ilala nioneshe masaki nioneshe mikocheni nioneshe ubungo nioneshe mbezi etc hebu nioneshe zikwapi hapo![]()
Unaongelea takataka kama hii😂😂😂👇👇👇Dar ni posta pekee, hizo zingine ni takataka.
Google is your friend, tafuta any site waliyo mention neno slum kwa Dar
Au sehem yoyote ile inaitwa slum kwa Dar
Kama Huruma ni slum Na hizi takataka za Dar tutaitaje?Huruma ni slum bana unabisha nin jombaaa!!!
Kuna vitu vya ku argue mzee baba
nani asiyejua kama NBO is home of slums in Africa
Kawaida yenu Midanganyika hamkubali vitu zilizo wazi. Unasema naokota picha kwa internet wakati moja ya hizo picha inaonyesga hadi hiyo brt yenu vizuri sana. Mnatia huruma sana.Leta google earth kama hii ikionesha slum in dar😆😆😆😆👇👇👇👇👇otherwise endelea kuokota picha za google
View attachment 1163730
Ni kweli kabisa. Mbona sisi wakenya tuko na uchokozi hivi? Mbona tunapenda kuleta picha zisizo za Dar Na kusisitiza ni za Dar? Kwa maana hata hizi picha hapo chini sio za Dar bali ni za Nairobi, mji wa slums. Hiyo BRT Haipo Dar kabisa, Brt ya Dar haikai mbavu hiyo. Hiyo haiwezi kuwa Dar kwa sababu hata baba wa Taifa Nyerere alikataa! Magufuli pia amekataa, mbona sisi tukubali. Haiwezekani. Wakenya waendelee kuokota picha mitandaoniEndelea kuokota picha za google chukua na za nigeria na congo useme dar😆😆😆😆
Dar hakuna udongo mwekundu never😅😅
Any more photos? You can post endless repeated screenshots but facts are just facts! Nairobi has Africa's largest slum and that is just one, there are more like mathare, kawangware, huruma etc.Kama Huruma ni slum Na hizi takataka za Dar tutaitaje?
View attachment 1164505View attachment 1164507View attachment 1164510View attachment 1164511